• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Shinyanga District Council
Shinyanga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

Maji

Halmashauri ya Wilaya yaShinyanga ina vyanzo vingi vya maji kama vile visima na mito .Kiuhalisia upatikanaji wa maji katika Wilaya ya Shinyanga bado haujaweza kuwafikia wananchi wote katika vijiji vilivyopo. 

Huduma ya maji katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga inatolewa kwa watu wapatao 218,246 ambao ni sawa na asilimia 60.04 ya wakazi wote Hivyo Idara inaendelea na jitihada zaidi  za kutafuta rasilimali zitakazowezasha ujenzi wa miradi ya maji kutekelezwa hivyo kuboresha hali ya upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi. 

Miradi hii inaweza tekelezwa kwa awamu kutegemea uwezo halisi na upatikanaji wa fedha. Kwa maelezo bonyeza hapa kupakua faili kupata maelezo ya kina.

Majukumu ya Idara ya Huduma za Maji 

•Kutathimini, kuratibu na kushauri juu ya utekelezaji wa sera za sekta ya maji katika ngazi ya wilaya.

•Kuendeleza na kuboresha hali ya huduma za maji na usafi wa mazingira katika wilaya.

•Kuwezesha, kuratibu, Kusimamia, na kuthibiti sekta binafsi zinazotoa huduma za Maji katika wilaya. 

•Kuwezesha na kuratibu timu ya huduma za Maji na Usafi wa Mazingira katika wilaya.


Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI - AJIRA ZA MUDA USIMAMIZI WA MIRADI November 04, 2022
  • TANGAZO LA KAZI - AJIRA ZA MUDA USIMAMIZI WA MIRADI November 04, 2022
  • UPANGISHAJI WA MAJENGO YA OFISI NA NYUMBA ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA ZILIZOPO MANISPAA YA SHINYANGA July 02, 2020
  • TANGAZO MAPOKEZI YA FEDHA February 09, 2021
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WAKUU WA DIVISHENI NA VITENGO

    September 22, 2023
  • MAKABIDHIANO YA OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMSHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA

    September 21, 2023
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA, KIJIJI CHA MUONGOZO KWA AJILI YA UTOAJI ELIMU YA UMILIKI WA ARDHI NA UTHAMINI KWAJILI YA FIDIA

    September 20, 2023
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA USAFI DUNIANI

    September 16, 2023
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa