• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

Kilimo ,Umwagiliaji na Ushirika

Sekta ya kilimo ndiyo inayotegemewa kwa kiasi kikubwa na wakazi wa Halmashauri  ya Wilaya  ya Shinyanga, kwani zaidi ya asilimia 75 ya wakazi wa eneo hili wanategemea kilimo kwa ajili ya kuendesha maisha yao ya kila siku.

Halmashauri  ya Wilaya  ya Shinyanga ina Eneo lenye ukubwa wa jumla ya kilomita za mraba  4,212, kati ya eneo hilo, linalofaa kwa kilimo ni kilomita za mraba 1713.7. Mkakati uliopo ni kuendelea kufanya ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya umwagiliaji kadiri bajeti itakavyoruhusu kwa lengo la kuendeleza kilimo cha umwagiliaji. Mazao yanayolimwa:  Mpunga, Choroko, Dengu, Vitunguu, Mtama, Mahindi, Pamba, uwele nk.

Majukumu ya Idara

1. Kusimamia na kuratibu ukaguzi mazao ngazi ya Halmashauri

2. Kusimamia mtandao wa mawasiliano ngazi ya Halmashauri.

3. Kuandaa utabiri wa uzalishaji mazao ngazi ya Halmashauri

4. Kufuatilia upelekaji wa taaluma ya uzalishaji mazao ngazi ya Halmashauri.

5. Kuratibu na kufuatilia Programu zote za ugazi katika eneo husika

6. Kushirikiana na taasisi zisizo za kiserikali na mashirika ya umma

yanayojihusisha na uzalishaji, usindikaji na uuzaji wa mazao

7. Kuandaa mahitaji na upatikianaji wa pembejeo

8. Kusimamia udhibiti wa visumbufu vya mazao na mimea katika ngazi ya Halmashauri

9. Kusimamia/ kuendeleza taaluma ya uzalishaji wa mazao ngfazi ya Halmashauri

10. Kutafsiri sera kuhusu uendeshaji na uzalishaji mazao.

11. Kuandaa/ kuandika taarifa ya utekelezaji wa sekta ya kilimo

12. Kuandaa program za uendelezaji mazao.

13. Kuratibu huduma za umwagiliaji kwa wakulima

14. Kufanya tathimini ya Mazingira kabla na baada ya miradi ya umwagiliaji

15. Kuwaelimisha wakulma juu ya sheria za kilimo

16. Kutoa ushauri wa kitaalmi juu ya matumizi ya pembejeo

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.