• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Shinyanga District Council
Shinyanga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

ZIARA YA MKUU WA WILAYA, KIJIJI CHA MUONGOZO KWA AJILI YA UTOAJI ELIMU YA UMILIKI WA ARDHI NA UTHAMINI KWAJILI YA FIDIA

Posted on: September 20th, 2023

ZIARA YA MKUU WA WILAYA, KIJIJI CHA MUONGOZO KWA AJILI YA UTOAJI ELIMU YA UMILIKI WA ARDHI NA UTHAMINI KWAJILI YA FIDIA


Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi akiambatana na Kamati ya Usalama ya Wilaya , Wataalam kutoka Tume ya Madini, Mthamini wa Ardhi pamoja na Wataalam kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Ndg. Simon Berege.  Amefanya mkutano na Wananchi pamoja na wamiliki wa Mashamba ambayo yapo katika Eneo la muwekezaji wa uchimbaji madini, Kwaajili ya kutoa Elimu ya umiliki na matumizi bora ya ardhi kisheria sambamba na uwekezaji katika sekta ya madini.

Mkutano huo umefanyika Ofisi ya Kata zilizopo Kijiji cha Muongozo, Kitongoji cha Nyandolwa kata ya Mwenge.

Mhe. Mkuu wa Wilaya  akiongea na Wananchi wa Kijiji cha Muongozo, Kata ya Mwenge amewataka kufwata taratibu na sheria zilizowekwa na kuhakikisha Elimu iliyotolewa na Wataalm inaleta manufaa na kuepusha migogoro baina ya Wananchi, Wamiliki wa Ardhi na Wawekezaji. Kutokana na uwepo wa Rasilimali asilia ( Madini) katika maeneo hayo.


Aidha, alisisitiza Jamii pamoja na Uongozi kushirikiana na Wawekezaji kwa kufwata Sheria, Taratibu na Kanuni katika kutekeleza majukumu ya kuiendeleza Jamii ya Muongozo na kudumisha Amani.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI - AJIRA ZA MUDA USIMAMIZI WA MIRADI November 04, 2022
  • TANGAZO LA KAZI - AJIRA ZA MUDA USIMAMIZI WA MIRADI November 04, 2022
  • UPANGISHAJI WA MAJENGO YA OFISI NA NYUMBA ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA ZILIZOPO MANISPAA YA SHINYANGA July 02, 2020
  • TANGAZO MAPOKEZI YA FEDHA February 09, 2021
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WAKUU WA DIVISHENI NA VITENGO

    September 22, 2023
  • MAKABIDHIANO YA OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMSHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA

    September 21, 2023
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA, KIJIJI CHA MUONGOZO KWA AJILI YA UTOAJI ELIMU YA UMILIKI WA ARDHI NA UTHAMINI KWAJILI YA FIDIA

    September 20, 2023
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA USAFI DUNIANI

    September 16, 2023
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa