• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

WATOTO 69,352 KUPATIWA CHANJO YA SURUA NA RUBELLA HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA

Posted on: February 14th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Kishapu, Mhe Joseph Mkude akimwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga amewaagiza Wajumbe wa Kamati ya Afya Msingi kuwahamasisha wazazi na walezi wenye watoto wa umri wa miezi tisa hadi miaka mitano kufika vituo vya kutolea huduma za afya na maeneo yatakayoainishwa  kuanzia tarehe 15-18 Februari, 2024 ili kupata chanjo ya Surua na Rubela. Agizo hilo limetolewa leo Februari 14,2024 wakati wa kikao cha maandalizi ya chanjo hiyo kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga. Kikao hicho kimejumuisha wajumbe wa Kamati ya Afya wa Msingi Wilaya ya Shinyanga.

Akiwasilisha mada kuhusu maandalizi ya utoaji wa chanjo ya Surua na Rubella, Mratibu wa chanjo wa Manispaa ya Shinyanga Bw.Ramadani Maneno, amesema kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga inatarajia kutoa chanjo ya Surua na Rubella kwa watoto 69,352. Chanjo hiyo ina lengo la kuwakinga watoto wa miezi tisa hadi miaka mitano dhidi ya ugonjwa wa Surua na Rubella ambao huenea kwa njia ya hewa. Magonjwa ya Surua na Rubella huwa na dalili kuwa na vipele vidogo vidogo ambavyo huanza kwenye paji la uso na kusambaa sehemu zingine za mwili, kuchemka mwili , kukohoa na dalili ya macho mekundu huongezeka kwa mwenye ugonjwa wa Rubella.

Utoaji wa chanjo ya Surua na Rubella kwa watoto wenye umri wa miezi tisa hadi miaka mitano ni utekelezaji wa maagizo ya Serikali kuwakinga watoto hao na magonjwa tajwa.


Mkuu wa Wilaya ya Kishapu, Mhe Joseph Mkude, akimwakilisha Mkuu wa 

Wilaya ya Shinyanga wakati wa kikao cha maandalizi ya chanjo ya Surua na

Rubella kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya 

ya Shinyanga.


Katibu wa Kamati ya Afya ya Msingi Dr.Nuru Yunge wakati wa kikao cha 

maandalizi ya Chanjo



Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Afya ya Msingi Wilaya ya Shinyanga 

wakisikiliza kwa makini wakati wa kikao cha maandalizi ya chanjo ya

 Surua na Rubella

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.