• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

WATENDAJI WANAOKWAMISHA MIRADI YA MAENDELEO KUCHULIWA HATUA

Posted on: June 14th, 2024

 Mwenyekiti wa Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Shinyanga Vijijini Mhe. Edward Ngelela

 amesema hawatawafumbia macho Watendaji ambao wanakwamisha miradi ya maendeleo kwa kuwa Rais anajitahidi 

na anahangaika kutafuta fedha za maendeleo. Hayo ameyasema leo Juni 14 , 2024 wakati wa uwasilishaji wa taarifa ya

 Hamashauri ya Wilaya ya Shinyanga kuhusu utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi kwa kipindi cha Januari hadi 

Juni, 2024 iliyowasilishwa kwa Kamati Kuu ya CCM Shinyanga Vijijini katika kikao kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano

 wa CCM Mkoa wa Shinyanga. 


 Naye Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Wakili Julius Mtatiro amesema hatasita kuwachullia hatua watendaji wa Halmashauri

 ya Wilaya ya Shinyanga ambao wanakwamisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa kisingizio cha hatua za manunuzi 

zisizofuata Sheria na weledi katika kazi.  "........ fedha zinatengwa zinafika na zinatumwa kule zinapopaswa kwenda, watu wakiandika 

madokezo wanaambiwa madokezo bado pesa zinaendelea kukaa, ......Mhe.Mwenyekiti huko nilikotoka hakuna fedha ilitengwa na 

ikarudi Hazina, ikitokea hapa, nitakamata kila mtu na nitafanya vurugu kubwa na hakutakalika. Kama Mbunge amepambana na

 Dr. Samia akazileta hairudi hata senti tano....” Amesisitiza Wakili Mtatiro


 Kwa upande wao, Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Wilaya wamempongeza na kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

 Tanzania, Mhe. Dr. Samia Suluhu Hassan kwa kuwapatia fedha za utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika maeneo yao. 

Wajumbe hao wamewataka Watendaji kutekeleza miradi kwa wakati ili kutimiza azma ya Serikali ya kuwaletea wananchi maendeleo .


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.