• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

WATENDAJI KATA NA MAAFISA KILIMO WA HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA WATAKIWA KUSIMAMIA UKUSANYAJI WA MAPATO

Posted on: February 20th, 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, Bw. Kisena Mabuba amewataka Watendaji wa Kata na Maafisa Kilimo kusimamia ukusanyaji wa mapato na kudhibiti upotevu wa fedha katika maeneo yao ya kazi ili kuiwezesha Serikali kupata mapato. Agizo hilo limetolewa Februari 19, 2024 wakati wa kikao kazi  kilichofanyika katika ukumbi wa halmashauri.


“Kwenye suala la mapato, hatuna aibu, hali ya  mapato katika  halmashauri yetu ndugu zangu ni mbaya, mtu yeyote anayekiuka utaratibu wa ukusanyaji wa mapato ya Serikali mkamateni na waelimisheni wananchi wajibu wajibu wao wa kutoa ushuru.....haiwezekana halmashauri yetu kutofanya vizuri katika ukusanyaji wa mapato.” Alisisitiza


Mabuba amesema haridhishwi na hali ya ukusanyaji wa mapato katika Halmashauri hiyo na anachukizwa na kitendo cha mashine za kukusanya mapato kutofanya kazi vizuri. Hivyo,  ameelekeza ukaguzi wa mashine hizo ili kubaini ambazo hazifanyi kazi vizuri katika ukusanyaji wa mapato na kuchukua hatua stahiki. Vile vile, ameelekeza ununuzi wa mashine mpya za kukusanya mapato ufanyike ili kuendana na mahitaji halisi.


Akiainisha vyanzo vya mapato katika halmshauri hiyo, Bw. Mabuba amesema kuwa halmashauri hiyo pamoja na vyanzo vingine inategemea mapato ya mazao na mifugo. Kila Afisa Kilimo, Afisa Mifugo na Mtendaji Kata asimame kwa nafasi yake na kuhakikisha kuwa mapato ya Serikali hayapotei na kusisitiza kuwa makusanyo yote yawekwe benki kwa wakati bila kucheleweshwa.


Aidha, Mabuba amemwelekeza Mkuu wa Divisheni ya Kilimo, Mifugo  na Uvuvi  Bw. Edward Maduhu kuhakikisha halmashauri inapata taarifa ya mavuno yanayoanza kuvunwa ili kuweka msisitizo wa ukusanyaji mapato katika maeneo hayo.


Awali akielezea vipaumbele vya halmashauri wakati wa uwasilishaji wa rasimu ya Mpango na Bajeti ya Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga kwa mwaka 2024/2025, Bw. Mabuba alimweleza Mkuu wa Mkoa Shinyanga kuwa halmashauri  hiyo imejipanga kwa kuweka mikakati madhubuti ambayo itasaidia  kuongeza ukusanyaji wa mapato ya Serikali. Baadhi ya mikakati aliyoiainisha ni pamoja na kufuatilia na kufanya ukaguzi wa mara kwa mara na wa kushtukiza ili kuziba mianya ya wizi,  kutoa elimu kwa wafanyabiashara, kuandaa kanzi data ya wafanyabiashara wote, kuwezesha wakusanya mapato kwa kuwapatia vitendea kazi muhimu na kuongeza mashine za kukusanya mapato ( POS).





Baadhi ya Maafisa Kilimo, Maafisa Mifugo na Watendaji Kata wakisikiliza kwa 

makini wakati wa kikao kazi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.