• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI WAPIGWA MSASA KUHUSU KANUNI NA TARATIBU ZA UCHAGUZI

Posted on: September 30th, 2024


Msimamizi wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga ameendesha semina elekezi kwa wasimamizi wasaidizi ngazi ya Halmashauri, Kata na Kijiji Leo Septemba  30,2024 katika Ukumbi wa Halmashauri.


Akifungua semina hiyo kwa niaba ya Msimamizi wa Uchaguzi Ndg Joseph Ntomela amesema lengo la semina hii ni kuwafahamisha kanuni na taratibu za uchaguzi ili kuwajengea uwezo wa kusimamia Uchaguzi.


Akifafanua kanuni hizo Wakili wa Serikali ambaye pia ni msimamizi msaidizi ngazi ya Wilaya Wakili Salehe Hassan amewataka kutekeleza kazi zao kwa kuzingatia taratibu na kanuni na kwamba kutenda kosa lolote kinyume na kanuni itapelekea kuchukuliwa hatua za kisheria.


Aidha Wakili Salehe alikazia juu ya kanuni inayowasimamia watu wenye mahitaji maalumu na namna wanavoweza kushiriki ipasavyo katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.


Kwa upande wake Afisa Uchanguzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Ndg Oscar Lupavila aliwakumbusha juu ya sifa za mgombea, mpiga kura, pamoja na nafasi zitakazo gombewa kuwa ni Mwenyekiti wa Kijiji, Mwenyekiti wa Kitongoji, Wajumbe wa Kijiji kundi mchanganyiko pamoja na Wajumbe wa Kijiji kundi la Wanawake.


"Tofauti na miaka ya nyuma Sasa hivi utaratibu umebadilika hatakuwepo Tena mgombea wa Kupitia bila kupingwa bali kutakuwepo na mgombea pekee ambapo Wananchi watapata haki ya kupiga kura ya ndio ama hapana" Ndg Lupavila aliongeza

Akifunga semina kwa niaba ya Msimamizi wa Uchaguzi Ndg  Ntomela weledi wao ndio utaenda kukamilisha Uchaguzi huru na Haki na kwamba waende kutekeleza majukumu yako kwa mujibu wa taratibu na kanuni walizopewa.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.