• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

WANAFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUM HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYINGA WAPATIWA VIFAA

Posted on: April 18th, 2024


Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga imepokea vifaa kwa ajili ya Wanafunzi wa Shule za Msingi wenye Mahitaji Maalumu  kutoka   mashirika yasio ya kiserikali Action on Disability and Development (ADD) na Tanzania Cheshire Foundation ( TCF).


Alizungumza wakati wa mapokezi ya vifaa hivyo Mkurugenzi Mtendaji Ndg. Kisena Mabuba amewashukuru wadau hao kwa kutoa vifaa hivyo kwa watoto wenye mahitaji maalum maana vifaa hivyo vinaenda kutengeneza maisha yao.


Aidha, Ndg, Mabuba amewapongeza wazazi wa watoto hao kwa kuwapeleka watoto shule wapate elimu bila kujali hali walizonazo.


“Kuna changamoto kubwa kwa wazazi wenye watoto wenye ulemavu , bado wanafungia watoto wao majumbani. Serikali tunaendelea kutoa elimu kwa jamii juu ya janga hili. Niendelee kusisitiza na wapongeza sana Wazazi kwa  kuwaleta Watoto shule maana elimu ndio ufunguo wa maisha” alisema Ndg. Mabuba


Ndg Mabuba ametumia fursa hiyo kuwaeleza wazazi na wananchi kuhusu utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa bweni la Wanafunzi wenye mahitaji maalum katika Shule ya Msingi Iselamagazi wenye thamani Shilingi 128,000,000, na kusema lengo la Serikali ni kuhakikisha watoto wenye mahitaji maalum wananapata elimu bora  na katika mazingira mazuri.


Awali, Afisa Elimu Maalum Awali na Msingi,  Mwl. Irene Matern Kisweka akiwasilisha taarifa ya mapokezi ya vifaa hivyo amesema Halmashauri imepokea Viti Mwendo (Wheel Chair) 10 na Miwani 9 kwa ajili ya Wanafunzi wa Shule za Msingi ambazo ni Iselamgazi, Pandagichiza, Mwalukwa A, Mwalukwa B, Mwamadilanha, Isela, Bunonga na Ng’hama.


Naye Ndg. Mabuba wakati akipokea vifaa hivyo, amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa fedha kwa ajili ya miradi inayowanufaisha watoto wenye mahitaji maalum Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga  na sehemu mbalimbali za Tanzania.


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Ndg. Kisena Mabuba

 akizungumza wakati wa mapokezi ya vifaa

Mkurugenzi Mtendaji akipokea Kiti Mwendo kutoka kwa viongozi wa 

Action on Disability and Development (ADD) na Tanzania Cheshire Foundation ( TCF).

Afisa Elimu Maalum Awali na Msingi,  Mwl. Irene Matern Kisweka akiwasilisha taarifa

 ya mapokezi ya vifaa.


Ndg. Mabuba akikabidhi Kiti Mwendo kwa Mwanafunzi pamoja na mzazi wake

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.