• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

WANAFUNZI 110 KUPEPERUSHA BENDERA YA HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA MICHEZO YA UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA

Posted on: May 27th, 2024

Mkuu wa Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi, Bw. Andrew A. Mitumba, akimwakilisha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri   ya Wilaya ya Shinyanga, amewapongeza washiriki  wote  waliofanya vizuri katika michezo mbalimbali nakuwataka  kuiwakilisha vyema halmashauri katika mashindano ya UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa yatakayofanyika  Mei 30 hadi Juni 2, 2024.


Hayo ameyasemaleo Mei 27, 2024 wakati wakufunga mashindano ya UMITASHUMTA ngazi ya halmashauri yaliyofanyika  katika viwanja vya Shule ya Msingi Iselamagazi. Mashindano hayo yalianza Mei 26 nakumalizika  Mei 27, 2024.


“….  Wote mmejituma nakufanya kazi inayoonekana, wenzetu mliopatanafasi kwaniaba yetu sote tume wapa dhamana ya kubeba halmashauri yetu. Kwa kuwa mmeaminiwa nammefanya vizuri, huko mkajitume zaidi, mkacheze kufa nakupona huko tunataka vikombe. Lakini michezo inaendana na nidhamu, mkawe na nidhamu bora, mkawe wasikivu, hatutaki watoto wazururaji, ukigundulika unatabia za ajabu ajabu tutakuodoa mara moja…...” amesisitiza Bw. Mitumba.


Naye Kaimu Mkuuwa Kitengo cha Michezo Sanaa na Utamaduni Bw. Joseph Bihemo amesema kuwa team ya Halmashauri itawakilishwa na wanafunzi 110 ambao watashiriki katika michezo mbalimbali ikiwemo mpira wa miguu kwa wavulana na wasichana, mpira wakikapu, riadha, ngoma, kwaya na kuruka Kamba. Team hiyo itaambatana na makocha wanane.


Kauli mbiu ya michezo ya UMITASHUMTA kwa mwaka 2024 ni “Miaka 50 ya UMITASHUMTA, tunajivunia mafanikio katika  sekta ya Elimu, Michezo na Sanaa, Hima mtanzania Shiriki Uchaguzi wa Serikali za  Mitaa 2024”



Wanafunzi  110 wanaounda timu ya Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga na 

Makocha nane watakaoiwakilisha halmashauri katika mashindano ya 

UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa.


Mkuu wa Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi, Bw.Andrew A. Mitumba,

 Mwakilishiwa Mkurugenzi Mtendajiwa Halmashauri yaWilaya ya Shinyanga 

akifunga mashindano.


Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Michezo, Sanaa na Utamaduni Bw. Joseph 

Bihemo akitoa neono la utangulizi.




Wanafunzi wakiwa katika michezo mbalimbali



Baadhi ya wanafunzi na walioshiriki mashindano ya michezo

Makocha watakao iwakilisha halmashauri

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.