• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

WALIMU WAPIGWA MARUFUKU KULIMA MASHAMBA YA SHULE

Posted on: November 5th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Mhe. Wakili Julius Mtatiro amepiga marufuku walimu katika shule za msingi na sekondari kulima kwenye mashamba ya shule ili mashamba hayo yatumike kwa ajili ya kulimwa chakula cha wanafunzi.


Maagizo hayo ameyatoa leo Novemba 5, 2024 wakati akitoa salamu za viongozi katika kikao cha Baraza la Madiwani la Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2024/2025


Marufuku ya kulima mashamba ya shule imetolewa kufuatia hoja ambayo iliibuliwa na Diwani wa Nyida Seleman Segeleti, juu ya Walimu kuendelea kulima kwenye mashamba ya shule na wakati walizuiwa.


Mtatiro amesema Walimu hawazuiwi kufanya shughuli za kilimo kama sehemu ya kujiongeza kipato na kupata chakula, lakini suala la kulima kwenye mashamba ya shule hairuhusiwi, bali wanapaswa kukodi mashamba kwa wanakijiji na kufanya shughuli hizo.


“Mshamba ya shule yatumike kwa shughuli za shule ili wanafunzi wapate chakula, na siyo Walimu kulima Mashamba hayo,”amesisitiza Mtatiro.


Ameeleza kuwa Walimu kuendelea kulima kwenye mashamba ya shule, ni kuleta Mgogoro kwa jamii ambayo ipo tayari kulima mashamba hayo ili watoto wao wapate chakula shuleni, sababu wengine uwezo wa kuchangia chakula hawana, na kwamba tatizo hilo lilishatokea Manyada ambapo wazazi waligoma kuchagia chakula kutokana na mashamba ya shule kulimwa na Walimu, na wakati wao walikuwa wapo tayari kwenda kuyalima.


Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga Ngassa Mboje, akizungumzia tatizo hilo, amemuangiza Mkurugenzi kwa kushirikiana na Watendaji wa Kata wawaandikie barua walimu kwa  kuambatanisha Waraka wa kuzuia Walimu kulima kwenye mashamba ya shule na kusambazwa kwa shule zote ili kumaliza tatizo hilo.


Mdhibiti Mkuu wa Ubora wa Shule Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga Joyce Andrew, awali akijibu maswali ya Madiwani, amesema kwamba Waraka wa Walimu kuzuiwa kulima kwenye mashamba ya shule walishapewa na kusambazwa kwenye Kata zote.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.