• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

WAKULIMA WATAKIWA KUFANYA KILIMO CHA KISASA

Posted on: August 8th, 2024

Mkuu  wa Mkoa wa Mara Mhe. Kanali Evans Mtambi ambaye alikuwa mgeni rasmi wa maadhimisho ya  kilele cha  sikukuu ya  Nane Nane  kanda ya ziwa mashariki amewahimiza wakulima kufanya kilimo  chenye tija na kutumia njia sahihi za kilimo bora ili kujipatia mazao bora na yenye thamani .


 Ameyasema hayo  Agosti 8,2024 wakati akizungumza kwenye kilele cha sikukuu ya wakulima  Nane Nane kanda ya Ziwa mashariki, maonyesho yaliyowakutanisha wakulima, wataalam wa kilimo na ufugaji kutoka Mikoa mitatu Shinyanga Mara na Simiyu yaliyofanyika katika viwanja vya Nyakabindi Baridi Mkoani Simiyu na kuwataka wakulima kuachana na kilimo cha kubahatisha.


" kilimo cha kubahatisha kimepitwa na wakati hebu tubadilike wakulima, Shughuli za kilimo na ufugaji zikiendeshwa vizuri zinatija katika sekta ya kilimo, mafunzo haya na semina hizi tulizopata tangu tarehe 01 Agosti hadi leo  kutoka kwa wataalamu wa kilimo na ufugaji hebu twendeni tukazitumie kwa usahihi.” amesema Mhe Mtambi


Maadhimisho hayo yamehudhuliwa na viongozi mbalimbali akiwembo Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Julius Mtatiro na Mkurugenzi Mtendaji  wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Dkt. Kalekwa Kasanga.


Pamoja na mambo mengine Mhe. Mtambi amewataka wananchi kujitokeza kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ili kuchagua viongozi bora kwa ajili ya maendeleo endelevu ya Taifa.


Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha amesema kuwa uwepo wa maonesho haya kwa kanda ya Ziwa Mashariki ni fursa kubwa sana kwa wananchi wa Mikoa hii mitatu ya Shinyanga , Mara na Simiyu kwani imekutanisha wataalam wa Serikali, Taasisi na Sekta binafsi.



Mkuu  wa Mkoa wa Mara Mhe. Kanali Evans Mtambi ambaye alikuwa mgeni 

rasmi akizungumza wakati wa maadhimisho.


Mkurugenzi wa Mtendaji  Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga

 Dkt. Kalekwa Kasanga alipotembelea Banda la halimashauri. 


 Picha ya pamoja ya mgeni rasimi  Mhe. Kanali Evans Mtambi ambaye ni

 Mkuu  wa Mkoa wa Mara pampja na Mkuu wa mkoa wa Shinyanga

 Mhe. Anamringi Macha na mkuu wa Mkoa wa Simiyu Kenani Kihongosi


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.