• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

WAGANGA WADAWIDHI WAMETAKIWA KUFANYA KAZI KWA KUZINGATIA TARATIBU, KANUNI, NA SHERIA ZA UTUMISHI WA UMMA

Posted on: May 17th, 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashjauri ya Wilaya ya Shinyanga Ndg. Kisena Mabuba ametoa maagizo hayo katika Kikao kazi  cha kupitia na kujadili takwimu za utendaji wa huduma za Afya na taarifa ya mapato na matumizi katika vituo vya kutolea huduma za Afya na kubaini changamoto na kuweka mpago kazi wa kuongeza mapato katika vituo hivyo.


Kikao hicho kimefanyika  Mei 16,2024  katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya  ya  Shinyanga na kuhudhuliwa na Wakuu wa Divisheni na Vitengo wa pamoja na Waganga Wafawidhi wa Vituo vya kutolea Huduma za Afya Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga.


Akizungumza katika Kikao hicho, Ndg. Mabuba  amewataka Waganga Wafawidhi kutoa huduma bora kwa kuzingatia Weledi, Taratibu, Kanuni za Utumishi wa Umma.


“Watumishi wenzangu zingatieni Taratibu, Kanuni za Utumishi wa Umma katika utekelezaji wa majukumu yenu, mkakusanye mapato kwa uwaminifu na kuboresha huduma katika vituo vyenu vya kazi” alisema Ndg.Mabuba.


Mkurugenzi Mtendaji amemuagiza  Mganga Mkuu wa Halmashauri  ya Wilaya Shinyanga kuandaa mafunzo ya kuwajengea na kuwaongezea uwezo Wataalam wa Afya katika matumizi ya Mifumo ya mapato ili kupunguza vikwazo vya ukusanyaji mapato

.

Amempongeza Mgaganga Mfawidhi wa Zahanati ya Mwajiji kwa ukusanyaji mzuri wa mapato na kuvuka lengo na kuwataka Wataalam kujifunza kupitia Zahanati ya Mwajiji ili kuongeza ukusanyaji wa mapato.

Aidha, Ndg. Mabuba amesisitiza matumizi ya lugha nzuri kwa Wagonjwa na kuwahimiza Wataalam hao kuzingatia usafi wa Mazingira katika Vituo vya kutolea huduma za afya.


Kwa upande wake Kaimu Mganga Mkuu wa Halmashauri amewataka Wagaganga Wafawidhi kutekeleza maagizo yaliotolewa ili kuongeza ukusanyaji mapato na kuahidi kusimamia utekelezaji huo.


Mkurugenzi Mtendaji Ndg. Kisena Mabuba akizungumza wakati wa kikao na 

waganga Wafawidhi

Mganga Mfawidhi akichangia Mada wakati wa kikao



Waganga Wafawidhi wa Vituo vya kulolea huduma ya Afya Halmashauri ya Wilaya

ya Shinyanga wakisikiliza kwa makini maelekezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga kwenye picha ya

 pamoja na Waganga Wafawidhi wa Vituo vya kutolea huduma za Afya

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.