• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

WAFUGAJI KATA YA SOLWA WANUFAIKA NA JOSHO LA MIFUGO LILILOJENGWA NA SERIKALI

Posted on: February 22nd, 2024

Wafugaji Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga wametakiwa kutumia majosho kuogesha mifugo yao ikiwa ni njia ya kuzuia wadudu waharibifu na magonjwa ya mifugo ili kuwa na mifugo yenye afya bora. Kauli hiyo imetolewa leo Februari 20, 2024 na Mweyekiti wa Kamati ya Siasa Wilaya ya Shinyanga Vijijini Ndg. Edward Ngelela wakati wa ziara ya kutembelea miradi ya maendeleao inayotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Sinyanga ukiwemo mradi wa ujenzi wa Josho la kuogeshea mifugo lililopo katika kata ya Solwa.


Akizungumzia kuhusu umuhimu wa josho hilo, Ndg. Ngelela amefafanua kuwa kuogesha mifugo kwa kutumia josho huua wadudu wote waharibifu na magonjwa yaa mifugo kwa kuwa mfugo huingia mwili mzima kwenye josho tofauti na uogeshaji wa kunyunyizia ambao huua wadudu kwa baadhi ya sehemu katika mwili wa mfugo.


Aidha, Ndg. Ngelela amemwagiza afisa mifugo kuhakikisha elimu juu ya umuhimu wa kuogesha mifugo kwa kutumia majoshi inatolewa kwa wafugaji kuwa na mifugo yenye afya.


Awali akiwasilisha taaarifa ya mradi huo, Afisa Mifugo  wa Kata ya Solwa, Bw. Lukali Marick amesema mradi huo umekamilika na umegharimu kiasi cha Tsh. 23,000,000.00. Josho la Solwa limeanza kufanya kazi mwezi Desemba 2023 na  linahudumia mifugo ya vijiji vinne ambavyo ni Solwa, Mwandutu, Mwasekage na Mwisemi. Mradi  huo wa Josho unasimamiwa na Kamati ya Josho chini ya usimamizi wa Serikali ya Kijiji na umefanikiwa kuthibiti wadudu waharibifu na magonjwa ya  mifugo.


Muonekano wa Josho lililijengwa na Serikali katika Kata ya Solwa

 linalohudumia vijiji vinne katika kata hiyo.


Afisa Mifugo  wa Kata ya Solwa, Bw. Lukali Marick akitoa taarifa ya Mradi

 wa Josho la kuogeshea mifugo

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.