• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

WADAU WAFUNDWA NAMNA YA KUWAHUDUMIA WATU WENYE ULEMAVU

Posted on: September 12th, 2024

Ni katika warsha iliyokutanisha Halmashauri tatu ikiwemo Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, Shinyanga Manispaa pamoja na Misungwi ambazo zinatekeleza mradi wa Elimu Jumuishi, Task Order 51.

Warsha hiyo imefayika  katika hoteli ya Karena Shinyanga mjini ikiwa na lengo la  uboreshaji wa mkakati wa ushirikishwaji wa mashirika ya watu wenye ulemavu.


Akizungumza katika warsha hiyo muwezeshaji Bi. Anasteria Gwajima ambaye ni mratibu wa maswala ya jinsia emeelezea namna ya kumsaidia mtu mwenye ulemavu  wa macho kwamba ni vizuri unapomuongoza   vyema  ukamueleza kwa maneno mazingira unayotembea naye ikiwa kuna shimo, kona ama ngazi na sio kumvuta mkono.


Bi Gwajima ameongeza kuwa si vyema wanaume kukimbia familia zao kwa kigezo cha kupata mtoto mwenye ulemavu huku akilaani wale wanaotumia majina kandamizi na kwamba ni vyema unapomtambulisha uanze na neno  mtu mwenye ulemavu ili kutunza utu wake.


Akichangia namna ya kuhudumia  watu wenye ulemavu Mwl, Moshi Bucheyeki Enos wa Shule ya Msingi Mwalukwa A amesema ni muhimu kuendelea kuomba wadau kutengeneza  mazingira wezeshi kwa watu wenye ulemavu ili kusaidia kundi hilo kuchanganyika na wengine.


Kwa upande wake Afisa Elimu Maalumu shule za Msingi Bi Irene Kisweko wa Shinyanga Dc amesema  serikali inaendelea kumuangalia mtoto mwenye ulemavu kwa kuweka miundombinu wezeshi ikiwa ni pamoja na kumpatia chakula kumsaidia katika mazingira yake ya masomo.


Mradi wa Elimu Jumuishi unatekelezwa na umoja wa mashirika manne ADD International, Light for the World, Sense International na Tanzania Cheshire Fondation ukikutanisha mashirika ya watu wenye ulemavu pamoja na baadhi ya maafisa wa serikali.

BAADHI YA WASHIRIKI WA WARSHA KWENYE KAZI ZA MAKUNDI.

MWL MOSHI BUCHEYEKI WA SHULE YA MSINGI MWALUKWA AKITOA MCHANGO WAKE.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.