• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

WAANDISHI NA WAANDAAJI WA ORODHA YA WAPIGA KURA WANOLEWA

Posted on: October 7th, 2024

Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga imetoa mafunzo kwa Waandishi na Waandaji wa orodha ya Wapiga Kura  watakaotekeleza zoezi la uandikishaji wapiga kura linalotarajia  kuanza  tarehe 11 hadi  20 Oktoba 2024.



 Mafunzo  hayo ambayo yamepangwa kufanyika kwa siku mbili katika kanda nne yameanza leo Oktoba 07, 2024 kwa kuhusisha kanda mbili zenye washiriki kutok kata 11 za Kata ya Tinde, Nsalala, Usanda, Masengwa, Mwamala, Samuye, Mwenge, Salawe, Solwa, Mwakitolyo na Lyabukandena yamefanyika katika kumbi za shule ya  Sekondari  ya Wasichana Tinde na Shule ya Sekondari  Nzuzuli.


Kabla ya kuanza kwa mafunzo, waandishi na waandaaji wa orodha ya wapiga  kura wamekula kiapo cha uaminifu,  uadilifu na kutunza siri.


Wakifungua mafunzo kwa niaba ya Msimamizi wa uchaguzi, Wasimamizi wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa  ngazi 2024 ngazi ya halmashauri  Ndg. Victor Mollel na Bi Monica L. Mnanka wamewataka

waandishi na Waandaaji wa Orodha ya wapiga kura kuzingatia Sheria, Kanuni , miongozo na maelekezo ya Serikali katika zoezi hilo ili kufikia lengo la kuandikisha watu wote wenye sifa za mipiga kura.



Aidha, amewataka Waandishi na waandaaji wa Orodha ya Wapiga kura  kusikiliza kwa makini wakati wawezeshaji wakiwasilisha mada mbalimbali kuhusu zoezi la uandikishaji ili waweze kufahamu utaratibu wa kuandikishaji wa wapiga kura.


"Msimamizi wa uchaguzi wa halmashauri  hategemei kusikia mtu ameharibu kazi kwa uzembe wake na badala yake kazi ikamilike vizuri kwa mujibu wa sheria za nchi" wamesisitiza .



Naye mwezeshji wa mafunzo ambaye ni Afisa Uchaguzi,   Ndg. Osca Lupavila amesasilisha mada kuhusu utaratibu wa uandikishaji, sifa za anayeandikishwa, mawakala wa vyama vya siasa n utunzaji wa vifaa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.