• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

VYAMA VYA SIASA VYAPATIWA ELIMU KUHUSU SHERIA, TARATIBU NA KANUNI ZA UCHAGUZI

Posted on: October 22nd, 2024

Kuelekea Uchaguzi was Serikali za Mitaa Novemba 27,2024 Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imetoa Elimu kwa Vyama vya Siasa kuhusu Sheria, Taratibu na kanuni za Uchaguzi leo Oktoba 22,2024.



Akizungumza katika mafunzo hayo Mwezeshaji kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa Ndg. Frank Shija amesema katika kipindi hiki cha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Msajili wa Vyama vya Siasa anaviasa vyama vya siasa kuzingatia Sheria za nchi zikiwemo Sheria za Uchaguzi na Sheria zote zinazosimamiwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa zinazohusika katika uchaguzi huo, ili kudumisha Ushiriki wa Uchaguzi ambao ni jukumu la msingi la chama cha siasa, Uhusiano mzuri baina ya wadau, Utii wa Sheria bila shuruti, Uvumilivu wa kisiasa na Amani, utulivu, uzalendo, muungano wa Tanzania na Umoja wa kitaifa uliopo katika nchi yetu.



"Vyama vya Siasa vina wa wajibu wa kufuata wakati wa uchaguzi; Kuheshimu sheria zinazosimamia uchaguzi pamoja na kuzingatia pamoja na kuzingatia kanuni za maadili ya vyama vya siasa na kanuni za kuratibu mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa, kulaani , kuepuka na kuchukua hatua zinazofaa kwa mujibu wa sheria ili kuzuia au kuepusha vitendo vya vurugu, kutotoa maneno au maandishi ya uongo dhidi ya mtu au chama cha siasa kingine, kujiepusha na vitendo vya rushwana na kujiepusha na vitendo vya ubaguzi wa aina yoyote" amesema Ndg. Shija

Kwa upande wake Msimamizi wa Uchaguzi Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Dkt. Kalekwa Kasanga amewashukuru Viongozi hao wa vyama vya siasa kwa namna ambavyo wameonesha ushirikiano wakati wa zoezi la uandikishaji  wa wapiga kura na kuomba kuendelea kutoa ushirikiano kwa  matukio yaliosalia kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27,2024

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.