• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

Vituo vya kutolea huduma kuanza kutumia mfumo wa FFARS

Posted on: June 8th, 2017

Mafunzo ya siku mbili kuhusu mfumo wa uhasibu na utoaji taarifa za fedha kwa ngazi za vituo vya kutolea huduma ‘Facility Financial Accounting and Reporting System – FFARS) (FFARS) kupitia mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3) unaofadhiliwa na Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID) yameanza  leo katika hoteli ya Vigmark mjini Shinyanga.

Zaidi ya washiriki 60 katika makundi ya waratibu elimu kata katika kata zote za Halmashauri ya Manispaa na Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, mkuu wa kituo cha afya na mhasibu wa kila hospitali ya wilaya wamepatiwa mafunzo ya Mfumo wa FFARS katika vituo vya kutolea huduma zikiwemo zahanati, vituo vya afya, hospitali na shule za msingi na sekondari.

Mafunzo hayo yamelenga kuwawezesha washiriki hao ili waweze kuufahamu mfumo na kuweza kwenda kutoa mafunzo ya utumiaji wa mfumo wa FFARS kwa watoa huduma waliopo katika ngazi za shule za msingi na sekondari, na vituo vya afya wakiwemo kila mkuu wa kituo cha afya, mhasibu wa kila shule ya msingi na sekondari.

Mafunzo ya leo ni matokeo ya mafunzo yaliyofanyika tarehe 5 hadi 6 Juni 2017 ambapo wahasibu zaidi ya 130 kutoka Halmashauri za Wilaya, Manispaa na Majiji kwa Mikoa ya Kanda ya Ziwa na Kati walipatiwa mafunzo ya Mfumo wa FFARS ambao kwa leo wamekuwa wawezeshaji kwa washiriki zaidi ya 60 waliohudhuria mafunzo. Wadau mbalimbali wakiwemo wawakilishi kutoka PS3, TAMISEMI, Wizara ya afya kupitia HPSS (Health Promotion and System Strengthening) na Wizara ya Elimu wameshiriki katika kutoa mafunzo kwa kuhakikisha mafunzo yanaendeshwa kwa ufanisi wenye matokeo chanya.

Mkuu wa Idara ya Ufuatiliaji, Tathmini na Tafiti Tendaji kutoka PS3, Dr. Suma Kaare, alisema mfumo wa kutumia njia za kielektroniki (kompyuta) katika kuingiza taarifa za kifedha za vituo vya kutolea huduma utasaidia kurahisisha kazi na tayari serikali imeukubali na utaanza kutumika kuanzia mwezi Julai, 2017 katika halmashauri mbalimbali.

Baada ya mafunzo haya, wahitimu wataenda kutoa mafunzo katika vituo vya kazi vinavyotoa huduma kuanzia tarehe 19 hadi 30 Juni 2017

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.