• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

UJENZI WA MADARASA SHULE ZA SEKONDARI SHINYANGA DC WAENDELEA KWA KASI

Posted on: November 9th, 2022

Ujenzi wa vyumba 45 vya madarasa katika Shule 18 za sekondari  zilizoko katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga umeanza kutekelezwa ambapo wananchi wa maeneo husika, Madiwani, paoja na Management kushirikiana na mafundi wazawa (Force Account) wamejenga maboma ya majengo hayo na kwa sasa yako katika hatua za ukamilishwaji wa Maboma hayo ambayo yako hatua mbali mbali za Ujenzi.

Akizungumza na mwandishi wa Habari hii hivi karibuni Mkuu wa idara ya ujenzi Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga  Mhandisi William Luciu amesema kuwa ujenzi wa  madarasa katika shule zote 18 ambazo zinatekeleza mradi huo umeshaanza ambapo umewashirikisha wananchi wa maeneo husika na kwa sehemu kubwa ujenzi wa hatua za maboma uko katika hatua za ukamilisha wa Maboma

Mhandisi Luciu ameeleza kuwa idara yake kwa kushirikiana na idara ya elimu Sekondari pmaoja na Walezi wa Kata na Management ya Halmshauri ya Wilaya ya Shiyanga wamejipanga kikamilifu katika usimamizi na ufuatiliaji wa ujenzi huo na kwamba watahakikisha ujenzi unakamilika ndani ya muda uliopangwa na kujenga madarasa yenye viwango vya hali ya juu kwa ajili ya kuwawezesha wanafunzi wapya wa kidato cha kwanza 2023 kupata mahala pa kujifunzia.

Hivi Karibuni Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga ilipokea jumla ya Shilingi 900,000( Millioni 900 ) kutoka Serikali kuu kwa ajili ya ujenzi wa vyumba 45 vya madarasa ambayo yatatumiwa na wanafunzi wanaotaraji kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2023 katika shule 18 zilizobainika kuwa na uhitaji Zaidi wa madarasa ya msingi. Mapema. akizipokea Pesa hizo, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, Dr. Nice R. Munissy, alimshukuru Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. SAMIA SULUHU HASSAN kwa kuipatia Halamshauri na watu wa Shinyanga DC kiasi cha pesa hizo ili kuhakikisha watoto wote wanaochaguliwa kwenda shule Jan 2023 wasikose mahala pa kujifunzia.

Shule zilizopokea fedha kwa ajili ya ujenzi wa madarasa ya wanafunzi wa kidato cha kwanza 2023 ni pamoja na Shule ya Sekondari Iselamagazi (2), Mishepo (1), Ng'wakitolyo (1), Solwa (8), Gembe (1), Salawe (5), Kituli (4), Tinde (2), Ihugi (2), Usule (3), Didia (4), Mwalukwa (2), Kaselya (1), Isela (1), Ilola (1), Lyabukande (3), Imenya (1)  na Itwangi (1) ambapo kila chumba cha darasa kitajengwa kwa gharama ya shilingi milioni 20.

Kwa Kusoma Taarifa ya Ujenzi wa Madarasa haya Mpaka tarehe 08.11.2022 tafadhali pakuwa Document ujenzi wa madarasa-Shy DC Mpaka 08.11.2022.pdf



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.