• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

UFUATILIAJI WA UTEKELEZAJI WA MFUMO WA PEPMIS HALMASHAURI YA WILAYA YASHINYANGA

Posted on: May 22nd, 2024

Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga wametakiwa kujaza kwenye mfumo wa PEPMIS utekelezaji wa majukumu yao wanayoyafanya kila siku  ikiwa ni utekelezaji wa matumizi ya mfumo huo ambao unalenga  kuongeza ufanisi na uwajibikaji kwa watumishi wa Serikali.


Hayo yamebainishwa na Mwakilishi kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora  Bi. Upendo Sianga wakati wa zoezi la ufuatiliaji wa mfumo wa huo wa kieletroniki wa usimamizi wa utendaji kazi kwa watumishi wa umma lililofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Mei 21, 2024.


Naye Mwakilishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Bi.Vaileth Lumeleziameelezea lengo la kufanya zoezi la ufuatiliaji wa utekelezaji wa Mfumo wa PEPMIS kuwa ni kubaini changamoto zinazowakabili watumishi katika utumiaji wa mfumo huo ili ziweze kutafutiwa ufumbuzi.


Mfumo wa PEPMIS ni utekelezaji wa agizo la Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan ambao ni mbalada wa mfumo wa OPRAS ulikuwa ikitumika kupima utendaji kazi wa watumishi wa umma

Mwakilishi kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala 

Bora  Bi. Upendo Sianga akielekeza namna ya kutumia mfumo wa PEPMIS

 kwa watumishi.


Mwakilishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Bi.Vaileth Lumelezi akitoa 

neno la utangulizi wakati wa zoezi la ufuatiliaji wa mfumo wa PEPMIS


Afisa Utumishi kutoka Ofisi ya Halmasahuri ya Wilaya ya Shinyanga

 Bi Jane D. Gwaharage akiwakisilisha tathmini ya utekelezaji wa matumizi ya

 mfumo wa PEPMIS  wa kila Divisheni na Kitengo.

Baadhi ya Watumishi kutka Halmasahuri ya Wilaya ya Shinyanga wakifuatilia

 kwa makini wakati wa zoezi la ufuatiliaji w autekelezaji wa mfumo wa PEPMIS

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.