• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

SHINYANGA DC YASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI

Posted on: May 2nd, 2024

Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga wameungana na Wafanyakazi wengine duniani kuadhimisha siku ya wafanyakazi duniani. Watumishi hao wameshiriki sherehe za maadhimisho ya kimkoa ambayo yamefanyika katika eneo la Viwanja vya Shule ya Msingi Kakola katika Halmashauri ya Wilaya ya Msalala Mkoani Shinyanga April, 01,2024.


Akizungumza katika maadhimisho hayo, Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga. Mhe. Anamringi Macha ambaye alikuwa ni mgeni rasmi amewaahidi watumishi hao kufikisha changamoto zao kwa Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  na kuwatoa hofu Watumishi juu ya suala la Kikokotoo.Amesema kuwa ana uhakikika kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ni msikivu na atalifanyia kazi.


Aidha, Mhe. Macha amesema Mhe.Rais amekuwa akiboresha mara kwa mara maslahi ya Watumishi wa Umma, pamoja na kuweka mazingira mazuri ya kufanya kazi.


 Aidha, amewataka waajiri kupeleka michango ya Watumishi wao kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii suala ambalo limekuwa likilalamikiwa na Watumishi mara kwa mara na hata kuleta migogoro kwenye ulipaji wa mafao.


Kauli Mbiu ya Siku ya Wafanyakazi Duniani kwa Mwaka 2024 ni “ Nyongeza ya Mishahara ni Msingi wa Mafao bora na kinga dhidi ya hali ngumu ya maisha”


Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga. Mhe. Anamringi Macha akitoa vyeti na zawadi

 kwa wafanyakazi hodari wa Halmasahuri ya Wilaya ya Shinyanga.


Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga. Mhe. Anamringi Macha akizungumza wakati wa

 maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi).




Picha ya pamoja ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmshauri Ndg. Kisena Mabuba

 na Wafanyakazi Hodari.


Watumishi wa Halmashauri wakishiriki maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi 

Duniani.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.