• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

SHINYANGA DC YAFANYA INTERVIEW ZOEZI LA ANUANI YA MAKAZI NA POSTIKODI

Posted on: March 21st, 2022

Mkuu wa Idara ya Rasilimali Watu na Utawala wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Bwana David Rwazo pichani chini akisaini Kitabu cha wageni Shule ya Sekondari Iselamagazi mahali ambapo usaili wa Kata za Mwalukwa, Pandagichiza, Nyamalogo, Iselamagazi, Mwantini na Lyabusalu ulifanyika.

Pichani DHRO Bwana David Rwazo( Kulia) akisaini Kitau cha wageni mbele ya Makamu Mkuu wa Shule ya Sekondari Iselamagazi.

Akizungumzia Utaratibu, DHRO huyo aliwatangazia wote waliokuja kufanya usaili kuwa wanapaswa kufata sheria na taratibu zote. na kama kuna Mtu amefanya fojari ni bora ajitowe mwenyewe kwani ni kosa la jinai kugushi cheti au taarifa zozote za Serikali.

pia Watahaniwa wote walitangaziwa kuwa kutakuwa na ukaguzi wa vyeti Halisi vyote vya Taaluma, kuzaliwa na Kitambulisho cha Nida. utaratibu ulifanyika na watahaniwa wote wenye sifa waliruhusiwa kuingia chumba cha Mtihani saa 3.30 Asubuhi na kupewa maelekezo ya ndani ya Chumba na kufika saa nne kamili Mitihani ilianza kwa kanda hiyo ya Nindo.

Kwenye Kata hizi, waliitwa wasaili wenye sifa ni 185, ila waliofanya  mtihani huu wa Majaribio ni 142.

kwa muda wa saa limoja wanafunzi wote walimaliza Mitihani na kazi ya kusaisha mitihani ilianza mara moja baada ya kumaliza usaishaji na taratibu nyingine. Mkuu huyo wa Utawala alisema wanatarajia kutangaza Majina ya waliofaulu usaili huu mapema na haraka iwezekanavyo ili wapewe Mafunzo na kuanza kazi hiyo Mara Moja.

wanafunzi 142 waliwekwa kwenye Madara matatu na wasimamizi sita kwa madarasa yote Matatu.

DHRO aliatangaza kuwa utaratibu wa kuwaita Waaliofaulu au kuwajulisha wenye Kasoro utafanywa kwa njia za mawasiliano zinazoelewekwa na ni lazima matangazo hayo yawe kwenye tovuti hii ya Halmashauri. anawashauri vijana kujieusha na MATAPELI wanaotumia simu kuwapigia watu na kuwaambia kuwa wao ni Maafisa Utumishi na kuwa wanaomba hela kwa watahaniwa. Ofisi ya Mkurugenzi haihusiki na Maombi yeyote ya Pesa na watahaniwa wote wanapaswa kupeana Taarifa hii ya Matapeli.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.