• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

SERIKALI YAREJESHA TABASAMU KWA WAKAZI WA TINDE NA DIDIA KWA KUSHUSHA GHARAMA ZA MAJI

Posted on: June 4th, 2024

Serikali imesikia kilio cha wakazi wa Kata ya Tinde na Didia kuhusu maombi yao ya

 kupunguziwa bei za gharama za maji waliyokuwa wakilipa kiasi cha shilingi 2500 kwa 

unit tofauti na maeneo mengine ya Shinyanga ambayo wanalipa shilingi 1400 kwa unit.

 Wakazi hao sasa wataanza kulipa kiasi cha shilingi 1400 kwa unit.


Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Wakili Julius Mtatiro wakati wa

 Mkutano wa hadhara uliolenga kupokea na kutatua kero za wakazi wa kata ya Tinde kwa

 kuwahakikishia wakazi hao kuwa tayari EWURA imeidhinisha kushusha bei ya maji katika 

kata hiyo. Mkutano huo umefanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi Tinde, kata ya Tinde.


“…. wiki iliyoisha SHUWASA wamenifuata ofisini wakiwa wamepokea barua ya agizo la 

kushusha hizo bei kwa mujibu wa sheria kinachofuata ni hatua ya kutangaza kwenye

 gazeti la Serikali …..”amesema Wakili Mtatiro


Akitoa salamu za Kata, Diwani wa kata ya Tinde, Mhe. Jafary Makwaya amemshukuru 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuiletea 

kata hiyo fedha ambazo zimefanikisha miradi mbalimbali ikiwemo ukarabati wa Shule ya Msingi

 Tinde A na B, ujenzi wa bweni na matundu ya vyoo katika shule ya wasichana Tinde na sekondari

 Kituri, ujenzi wa barabara ya kutoka Tinde kwenda shabuluba, fedha za umeme wa REA kwa kila 

kijiji, ujenzi wa Zahanati  ya Ngokoro na mradi wa maji katika kijiji cha Buchama.


Naye Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, Bw. Stewart Makali 

akijibu hoja ya wananchi kuhusu ujenzi wa stendi  ya Tinde, amesema kuwa tayari Serikali imetoa 

kiasi cha shilingi milioni 30 kati ya 50 zilizotengwa na ujenzi wa stendi hiyo utaanza mara moja.

Diwani wa kata ya Tinde, Mhe. Jafary Makwaya akitoa salamu za Kata  wakati wa mkutano wa hadhara



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.