• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

MWENYEKITI WA HALMASHAURI AMEWATAKA WATENDAJI WA VIJIJI KUWASOMEA WANANCHI MAPATO NA MATUMIZI

Posted on: May 8th, 2024

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, Mhe. Ngassa Mboje amewaagiza Watendaji wa Vijiji kuwasomea Wananchi taarifa ya mapato na matumizi ya fedha zinazopokelewa ili wananchi hao waweze kufahamu fedha hizo zinavyotumika. Ametoa agizo hilo limetolewa wakati wa  Mkutano wa Baraza la Madiwani wa kupokea na kujadili taarifa za maendeleo ya Kata kwa kipindi cha Robo ya Tatu kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024. Mkutano huo umefanyika leo Mei 08,2024 katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri uliopo makao makuu ya halmashauri Kata ya Iselamagazi.


Akiwasilisha salamu zilizotolewa na Waziri wa Ofisi ya Rais – TAMISEMI wakati wa kikao cha ALAT, Mhe. Mboje amesisitiza uwepo wa ushirikiano baina ya Madiwani na Wataalamu wa Halmasahuri ili kuepusha migongano kwa kuwa wote wanajenga nyumba moja 


Aidha, amewataka Madiwani na  Mtendaji wa Kata husika kuwa na ushirikiano  katika usimamizi wa miradi ya maendeleo, ukusanyaji  wa mapato pamoja na uandaaji wa taarifa ili kuepusha mkanganyiko wa taarifa na migogoro kwenye kata.


Naye ,Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Mwl. Stewart Makali amewataka Watendaji hao  kuanza kutekeleza maagizo yaliotolewa na  Mwenyekiti wa Halmashauri haraka  na kuahidi kusimamia utekelezaji wa magizo hayo.


Mwenyekiti wa Halmashauri akizungumza wakati wa Mkutano wa Baraza la

 Madiwani la kupokea na kujadili taarifa za maendeleo ya Kata


Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Mwl. Stewart Makali akichangia mada wakati wa

 Mkutano wa Baraza la Madiwani.


Diwani wa Kata ya Mwakitolyo Mhe. Masalu Lusana Nyese  akiwasilisha

 taarifa ya maendeleo ya Kata


Diwani Kata ya Itwangi Mhe. Sonya J. Mhela akiwasilisha taarifa ya

 maendeleo ya Kata


,


Mheshimiwa Diwani akichangia Mada wakati wa majadiliano ya taarifa



Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya na Wataalamu wa Halmashauri wa

 Wilaya ya Shinyanga wakisikiliza kwa makini  uwasilishwaji wa taarifa

 za maendeleo ya Kata.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.