• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

MWENGE WA UHURU WARIDHISHWA MIRADI YA MAENDELEO HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA

Posted on: July 29th, 2023

MWENGE WA UHURU WARIDHISHWA NA MIRADI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA

Na. Afisa Habari Shinyanga DC

Mwenge wa Uhuru  2023 Halmashauri ya  Wilaya ya Shinyanga umekimbizwa kwa kilomita 94.22 na jumla ya miradi  9 ya maendeleo yenye thamani ya shilingi bilioni 5.346 imezinduliwa, imekaguliwa na kuwekewa Jiwe la Msingi.

 Mwenge wa Uhuru 2023 ukiongozwa na Ndg. Abdalla Shaib Kaim umeridhishwa na utekelezaji wa miradi  yote  katika Halmashauli ya Wilaya ya Shinyanga.

Akiongea na wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga katika Uwanja wa Shule ya Msingi Didia, Ndg. Abdalla Shaib Kaim ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga kwa miradi mizuri yenye ubora na kuzingatia viwango na kusisitiza kuhakikisha kuwa maelekezo yote yaliyotolewa yanafanyiwa kazi.

Aidha Ndg. Abdalla Shaib Kaim ameendelea kueleza kuwa miradi yote ya maendeleo  iliopitiwa na Mwenge wa Uhuru katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga  ni miongoni mwa kazi kubwa inayofanywa na  Mhe. Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa mapenzi ya dhati kwa Wanashinyanga. Hivyo ahimiza kuendelea kuwa na Umoja na Mshikamano na kumuunga mkono  Mhe. Rais kwa mazuri anayoyafanya.

Miradi iliyopitiwa na Mwenge wa Uhuru ni pamoja na Mradi wa Tenki la Maji Ishinabulandi, Mradi wa ujenzi wa Vyumba  vinne vya Madarasa Shule ya Sekondari Kituli, Mradi wa Vijana Wabunifu Usanda, Mradi wa Hifadhi na utunzaji Mazingira, Mradi wa Kiwanda cha kukoboa na kuongeza thamani ya Mpunga, Mradi wa Gari la wagonjwa na Mradi wa ugawaji Vyandarua.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari  Samizi ameshukuru ujio wa Mwenge wa Uhuru Wilaya ya Shinyanga ambao umekuja kumulika na kuanganza mazuri yanayofanywa na Mhe. Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.