• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Shinyanga District Council
Shinyanga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

MWENGE WA UHURU WARIDHISHWA MIRADI YA MAENDELEO HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA

Posted on: July 29th, 2023

MWENGE WA UHURU WARIDHISHWA NA MIRADI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA

Na. Afisa Habari Shinyanga DC

Mwenge wa Uhuru  2023 Halmashauri ya  Wilaya ya Shinyanga umekimbizwa kwa kilomita 94.22 na jumla ya miradi  9 ya maendeleo yenye thamani ya shilingi bilioni 5.346 imezinduliwa, imekaguliwa na kuwekewa Jiwe la Msingi.

 Mwenge wa Uhuru 2023 ukiongozwa na Ndg. Abdalla Shaib Kaim umeridhishwa na utekelezaji wa miradi  yote  katika Halmashauli ya Wilaya ya Shinyanga.

Akiongea na wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga katika Uwanja wa Shule ya Msingi Didia, Ndg. Abdalla Shaib Kaim ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga kwa miradi mizuri yenye ubora na kuzingatia viwango na kusisitiza kuhakikisha kuwa maelekezo yote yaliyotolewa yanafanyiwa kazi.

Aidha Ndg. Abdalla Shaib Kaim ameendelea kueleza kuwa miradi yote ya maendeleo  iliopitiwa na Mwenge wa Uhuru katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga  ni miongoni mwa kazi kubwa inayofanywa na  Mhe. Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa mapenzi ya dhati kwa Wanashinyanga. Hivyo ahimiza kuendelea kuwa na Umoja na Mshikamano na kumuunga mkono  Mhe. Rais kwa mazuri anayoyafanya.

Miradi iliyopitiwa na Mwenge wa Uhuru ni pamoja na Mradi wa Tenki la Maji Ishinabulandi, Mradi wa ujenzi wa Vyumba  vinne vya Madarasa Shule ya Sekondari Kituli, Mradi wa Vijana Wabunifu Usanda, Mradi wa Hifadhi na utunzaji Mazingira, Mradi wa Kiwanda cha kukoboa na kuongeza thamani ya Mpunga, Mradi wa Gari la wagonjwa na Mradi wa ugawaji Vyandarua.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari  Samizi ameshukuru ujio wa Mwenge wa Uhuru Wilaya ya Shinyanga ambao umekuja kumulika na kuanganza mazuri yanayofanywa na Mhe. Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI - AJIRA ZA MUDA USIMAMIZI WA MIRADI November 04, 2022
  • TANGAZO LA KAZI - AJIRA ZA MUDA USIMAMIZI WA MIRADI November 04, 2022
  • UPANGISHAJI WA MAJENGO YA OFISI NA NYUMBA ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA ZILIZOPO MANISPAA YA SHINYANGA July 02, 2020
  • TANGAZO MAPOKEZI YA FEDHA February 09, 2021
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA NNE 2022/2023

    August 10, 2023
  • WATENDAJI WA KATA HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA WAHIMIZWA KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE.

    August 02, 2023
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA YAPOKEA VIFAA TIBA KUTOKA BENKI YA NMB

    August 07, 2023
  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI

    July 01, 2023
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa