• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

MTATIRO AMESIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI

Posted on: March 26th, 2024

MHE. MKUU WA WILAYA MTATIRO AMESIKILIZANA KUTATUA KERO ZA WANANCHI                                                                                                       

Mkuu wa Wilaya Shinyanga Mhe. Julius Mtatiro amesikiliza na kutatua kero za wananchi katika mkutano wa wa hadhara uliofanyika 25/03/2024 kata ya Iselamagazi.

Ikiwa ni mkutano wa kwanza wilayani Shinyanga tangu Mhe. Mtatiro ahamishwe kuwa mkuu wa wilaya ya shinyanga. Ametumia fursa hiyo kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kumuamini katika kutumikia wananchi.

Akizungumza katika mkutano huo Mhe. Mtatiro alisema  kazi aliyotumwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan ni  kuungana na watumishi  kutumikia wananchi na moja ya utumishi kwa wananchi ni mawasiliano na ushirikishwaji hasa kwenye utekelezaji wa miradi ya maendeleo. 

Aidha, katika mkutano huo Mhe. Mtatiro alisema Wananchi wawe huru kuwasiliana naye kama  kuna ushauri, maoni au changamoto. Alitoa namba yake ya simu ya mkononi kwa Wananchi na kuwasisitiza wawasiliane naye kwa ajili ya utatatuzi wa changamoto.

Hata hivyo Mhe. Mtatiro alimuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri kuweka namba yake katika kila Ofisi au Taasisi za Serikali kama vile Shule, Hospitali na Ofisi za Kata ili wananchi waweze kumpata kwa urahisi wakiwa na changamoto na wasisubiri mikutano ya hadhara ili kuwasilisha changamoto zao.

Wakati wa mkutano huo wananchi walipewa nafasi ya kuwasilisha kero zao kwa Mkuu wa Wilaya. Moja ya Kero zilizotolewa na wananchi ni kutokuwa na umeme Shule ya Sekondari Iselamagazi. Mhe. Mtatiro alimuagiza  Meneja wa Shirika la ugavi wa Umeme Tanzania (Tanesco) Mkoa kupeleka umeme shuleni hapo ndani ya juma moja baada ya malipo.

Naye Diwani wa Kata ya Iselamagazi Mhe. Isack Sengerema alimshukuru mkuu wa Wilaya kufika Iselamagazi kusikiliza na kutatua kero za Wananchi na kumuahidi ushirikiano wakati wa kusimamia miradi ya maendeleo na ukusanyaji wa mapato.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Ndg. Kisena Mabuba alisema Serikali  imetenga kiasi cha Shilingi milioni kumi (10,000,000) kwa ajili ya kumalizia jengo la kituo cha Polisi Iselamagazi lililojengwa kwa nguvu za Wananchi.

Hata hivyo, Ndg. Mabuba alisema Wananchi wasisite kuwasiliana naye au kufika ofisini kwake kwa changamoto yoyote hasa kutolizishwa na huduma za watumishi katika ofisi za serikali.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.