• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

MKUU WA MKOA WA SHINYANGA AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA

Posted on: September 27th, 2023

MKUU WA MKOA WA SHINYANGA AFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA



Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme alifanya Ziara Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, Kata ya Mwalukwa 26/09/2023.


Katika ziara hiyo Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina S. Mndeme aliweka Jiwe la Msingi katika ujenzi wa Tanki la Maji lenye ujazo wa Lita 100,000 pamoja na bomba kuu la maji lililojengwa kwa ushirikiano wa Life Water International pamoja na Wakala wa Maji na Usafi  wa Mazingira Vijijini (RUWASA).


Mradai huo unaoetekelezwa katika Kijiji cha Bulambila Kata ya Mwalukwa una jumla ya mtandao wa Kilometa Thelathini na Nne (KM 34).

Inakadiliwa Mradi huo utahudumia Wananchi zaidi ya Elfu nane na mia nne (8,400) kwa maji safi na Salama katika  Vijiji vinne  (4) vya Mwalukwa, Bulambila, Kadoto na Ng'hama.  Akizungumza mara baada ya kuweka jiwe la msingi Mhe. Mndeme alisema, Serikali ya awamu sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ina uhusiano mzuri sana na Mashirka yasiyo ya Kiserikali na ndiyo sababu leo tunashuhudia kukamilishwa utekelezaji wa Mradi huu muhimu ambao umekuja kuondoa kero hapa Kata ya Mwalukwa huku akiwataka Life Water International na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini(RUWASA )kuona namna ya kuongeza Tanki na mtandao wa Maji zaidi ili uweze kuwahudumia Watu wegi zaidi.



Mhe. Mndeme pia  alikaguwa na kutembelea  ukarabati wa Bwawa la Maji  Mwalukwa ambalo awali lilikuwa na kina cha Mita 2.25 na sasa litakuwa na kina cha Mita 4.1 ambapo kwa upande wa ujazo wa lita za Maji awali lilikuwa ni zaidi ya lita elfu 71 na litakapokamilika litakuwa na ujazo wa lita zaidi ya laki 2.93.

Ukarabati huu wa Bwawa unakwenda kuwanufaisha wananchi zaidi ya elfu 22 ambao watawekea Birika kwa ajili ya kutumia maji haya na mifugo zaidi ya 13 ambapo kutaondoa kabisa kero ya uhaba wa maji eneo hili.



Mkuu wa mkoa amekili kufurahishwa na utekelezaji wa miradi hiyo mikubwa ya maji amabayo itatua kero ya upungufu wa maji Kata ya Mwalukwa.

Aidha, amepongeza ushirikiano uliopo kati ya Wakala wa Maji na  Usafi wa Mazingira Vijijini na Wananchi wa Kata ya Mwalukwa katika utekelewaji wa miradi hiyo.

Amewapongeza wananchi wa mwalukwa kwa kutoa  ushirikiano katika utekelezaji wa miradi hiyo . alisema “ Nawapongeza sana Wananchi wa Kata ya Mwalukwa kwa kushiriki katika kazi ya uchimbaji wa mtaro wa bomba na kutoa maeneo yenu ili kuwezesha miundimbinu ya mradi ijengwe.


 Mhe. Mndeme ilihitimisha  Ziara hiyo kwa kufanya Mkutano wa hadhara katika Kijiji cha Mwalukwa ambapo alisikiliza na kutatua Kero za Wananchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.