• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

MKUU WA MKOA WA SHINYANGA AAGIZA VIAPAUMBELE VYA HALMASHAURI VIZINGATIE MASLAHI YA WANANCHI

Posted on: February 12th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Christina Mdeme amewaagiza Wakurugenzi wa halmashauri za Wilaya ya Shinyanga, Kishapu na  Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga kuhakikisha kuwa  vipaumbele vya bajeti za halmashauri vinazingatia msingi  unaoleta tija kwa maslahi ya wananchi. Kauli hiyo imetolewa leo wakati wa kikao kazi   kilicholenga kuwasilisha mapendekezo ya mpango na bajeti ya mwaka wa fedha 2024/2025 kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga.


Aidha, Mhe. Mdeme amezielekeza halmashauri hizo kutafuta namna bora ya ukusanyaji mapato na kuziba mianya yote inayopelekea upotevu wa mapato ya Serikali, kuweka mikakati itakayowezesha kukamilisha miradi ya mendeleo  kwa wakati na kushauri kuwa mikakati hiyo iwekewe mpango kazi ili kufikia malengo yaliyokusudiwa.


Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Bw. Kisena Mabuba amemuhakikishia Mkuu wa Mkoa kuwa halmashauri imejipanga kwa kuweka mikakati madhubuti ambayo itasaidia  kuongeza ukusanyaji wa mapato ya Serikali. Baadhi ya mikakati hiyo inatekelezwa na imeanza kuzaa matunda. Mikakati aliyoitaja ni pamoja na kufuatilia na kufanya ukaguzi wa mara kwa mara na wa kushtukiza ili kuziba mianya ya wizi,  kutoa elimu kwa wafanyabiashara, kuandaa kanzi data ya wafanyabiashara wote, kuwezesha wakusanya mapato kwa kuwapatia vitendeea kazi muhimu na kuongeza mashine za kukusanya mapato.


Akizungumzia vipaumbele vya  halmashauri ya wilaya ya Shinyanga, Bw. Mabuba ameainisha kuwa halmashauri imejipanga kuimarisha ukusanyaji wa mapato ya ndani, kuimarisha utawala bora na uwajibikaji, kuboresha upatikanaji wa huduma zenye ubora za jamii katika sekta mbalimbali, kukarabati na kukamilisha ujenzi wa miundombinu  ya huduma za kijamii, na kumalizia ujenzi wa jengo la utawala la halmashauri.


Naye Mkuu wa Wilaya ya Kishapu, Mhe. Joseph Mkude amewaagiza wakurugenzi wa halmashauri ya Wilaya za Sinyanga, Kishapu na Manispaa ya Shinyanga kutekeleza shughuli za maendeleo kwa ukamilifu wake  na kutenga fedha kwa ajili ya vipaumbele vya wananchi.


Halmashauri ya Wilaya ya Shinganya imependekeza bajeti ya Tsh. Billioni 40.5 kwa mwaka wa fedha 2024/2025 kwa ajili ya kuwezesha utekelezaji wa shughuli za halmasahuri na miradi ya maendeleo.


Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Christina Mdeme akizungumza na

 Wakurugenzi pamoja na wataalamu kutoka halmashauri za wilaya ya 

Shinyanga, Kishapu na Manispaa ya Shinyanga wakati wa kikao kazi

  Februari 12, 2023

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, Bw. Kisena Mabuba

 akifafanua jambo wakati wa kikao kazi

Mkuu wa Wilaya ya Kishapu , Mhe. Joseph Mkude akizungumza  wakati

 wa kikao

Baadhi ya Wataalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga wakifuatilia

 kwa karibu wakati wa kikao.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.