• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

MKUU WA MKOA ATEMBELEA WAHANGA WA MAAFA KATA YA MWAMALA

Posted on: December 7th, 2023



Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme Tarehe 6 Disemba, 2023 amewatembelea  wahanga wa maafa walioezuliwa  na kubomolewa makazi yao katika kata ya Mwamala kufuatia mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia terehe 6 Disemba, 2023.


Akizungumza na Wahanga hao Mhe. Mndeme amewapa pole  na kuwaeleza kuwa serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imepokea maa masikitiko makubwa taatifa za mafuriko haya na kwamba sasa serikali itatoa huduma ya matibabu bure mpaka kupona kwa Majeruhi wote, italeta mbegu kwa Wathirika wa Mashamba, italeta Vifaa vya kulalia na itafanya tathimini ya awali ili kujuwa kiasi cha hasara iliyopatikana na mahitaji halisi.



"Poleni sana Ndugu zetu kwa tukio hili, lakini tu niseme kuwa serikali itagharamia matibabu wa Majeruhi, kuleta Mbegu, vifaa vya kulalia, pia nimuagize Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga kufanya tathimini ya awali kujuwa uhalisia wa mahitaji na hasara iliyopatikana ili Serikali ijue, niseme tu kuwa, haya ndiyo maelekezo ya Rais wetu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa wahanga wote," alisema Mhe. Mndeme.


Aidha ,Kata ya Mwamala jumla ya nyumba 51 zimeathirika na mvua hizo pqmoja na hekari takribani 10 kuharibiwa kabisa na mvua ya barafu iliyoambatana na upepo mkali katika kijiji cha Ng'onze sanjali na kuumiza watu wanne akiwemo bibi kizee ambaye amelazwa hospitali ya Mwawaza.

Mhe. Mndeme ametoa wito kwa wananchi wote kuendelea kuchukua tahadhari ya mvua hizi zilizotabiriwa na Mamlaka ya Hali ya Hewa kuwa zitakuwa za juu ya kiwango, kuondoka maeneo yote hatarishi.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.