• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

Mkurugenzi Shinyanga DC Atembelea wachimbaji wa Madini ya Dhahabu Nyandolwa, Mwenge, Shinyanga DC

Posted on: July 31st, 2021

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, Bi. Hoja N. Mahiba Atembelea Wachimbaji wa Madini ya Dhahabu Mgodini Nyandolwa, Mwenge, Shinyanga DC leo tarehe 31/07/2021

Bi. Hoja akisaini kitabu cha wageni ofisi ya Wachapakazi Gold Mine waendeshaji wa sehemu ya Mgodi wa Dhahabu wa Nyandolwa leo tarehe 31/07/2021 alipowatembelea Ofisini kwao.



Akieleza Changamoto zinazowakabili kwenye mgodi huo, bwana Sylvester, Mwenyekiti wa Wachapakazi Gold Mine alisema kumekuwa na Changamoto za mgawanyo wa maeneo ya kufanyia shughuli za uchimbaji lakini wameshazifikisha Serikalini kwa utatuzi,ila alisema hali ya Amani na usalama mgodini ni nzuri sana.

Bi. Hoja alimueleza Mkiti huyo kuwa asiwe na wasiwasi wa Changamoto zake kwani Serikali ya Jamhuri wa Tanzania ni sikivu. Imesikia kero zao na inazishughulikia.

Bi Hoja Aliwapngeza sana Wachapa kazi na alisema “ Kwa kweli kama Jina lenu linavosadifu, nimefurahishwa sana na Juhudi mnazozionyesha kwani kila nikija kuwatembelea hapa nakuta mabadiliko makubwa,ni ishara kuwa mnachapa kazi kweli kweli” Alisema.

Aliwasisitiza kudumisha suala la Amani mgodini, kulipa kodi zote za Serikali na Mrahaba. Na kuwasisitiza kuwa kukiwa na changamoto yeyote basi wasisite kuijulisha Serikali ili iweze kuipatia ufumbuzi kwa haraka.  Alisisitiza umuhimu wa kushirikiana kwenye kutatuwa changamoto mara tu zinapojitokeza hapo mgodini
.

Bi Hoja aliendelea na ziara yake kwa kupitia maduara yote ya Uchimbaji na kuongea na baadhi ya wachimbaji na wakaguzi wa Madini Mgodini.

Wachimbaji walimwambia mambo yanaenda vizuri na changamoto za kawaida zinazojitokeza basi viongozi wa migodi na wakaguzi pamoja na Tume ya Madini wanaendelea kuzitatuwa mara tu zinapojitokeza. Bi Hoja Aliwasaidia Baadhi ya Wachimbaji kutowa mfuko wa Udongo wenye dhahabu kama inavoonekana pichani hapa chini.

Bi Hoja Alihitimisha ziara yake kwa kuwaahidi wachimbaji na vingozi wao kuwa sasa atakuwa akiwatemelea mara kwa mara ili ahakikishe changamoto zao walizomueleza anazitatuwa haraka kdiri zitavokuwa zinajitokeza.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.