• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga awaita wataalam wa Maadili 'kuwafunda' Kamati ya Maadili ya Madiwani kwa Siku 2

Posted on: March 12th, 2021

MKurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga BI. Hoja Mahiba Leo Tarehe 12.03.2021 Amefunguwa Semina ya Siku mbili kwa Waheshimiwa Madiwani ambao ni Wajumbe wa Kamati ya Maadili ya Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga. 

Akitowa Mada kwenye Semina hiyo, Mtaalam wa Kwanza kutoka Tume ya Maadili Alisisitiza Umuhimu na Majukumu ya Kamati ya Maadili ya Madiwani. Akiwakumbusha Majukumu matatu Makuu ya Kamati ya Maadili kuwa ni:

  1. Kushauri Halmashauri kwenye Maamuzi mbalimbali hasa ya Uvunjifu wa Maadili wakizingatia kanuni na Sheria Mbali mbali
  2. Kufanya Uchunguzi wa TUHUMA za uvunjifu wa Maadili kwa Madiwani
  3. Kushughulikia Matukio yote ya Uvunjifu wa Maadili kwa Madiwani
  4. Kusuluhisha inapotokea mitafaruku Kati ya Madiwani na Wataalam Katika Halmashauri

Alisisitiza Mambo Mengi kwa Waheshimiwa Madiwani lakini akitilia Msisitizo kuwa ni Kamati mbili tu ndio zinapaswa kusikiliza Malalamiko ya uvujifu wa Maadili kwa Viongozi yaani ile ya Kamati ya Maadili ya Madiwani kwa migogoro yote ya Waheshimiwa Madiwani ama Mgogoro kati ya Mheshimiwa Diwani na Watumishi, na ile Kamati ya Uadilifu ya Watumishi inayoshughulikia makosa ya Watumishi. Aliwasisitiza Waheshimiwa Madiwani kuzitumia Kamati kusaidia Kupunguza utovuwa nidhamu kwa Viongozi nawatumishi wanapotekeleza Majukumu yao ya Kila siku.

Kwa Siku hii ya Kwanza ya Mafunzo, Mtoa Mada wa Pili kutoka Tume ya Maadili ya Viongozi Alisistiza sana Kuwafundisha Waheshimiwa Madiwani juu ya KANUNI KUHUSU MAADILI YA MADIWANI. ambazo kImsingi Alisema zinazingatia tafuatayo:

  • Kujenga na Kudumisha Imani ya Wananchi kwa Viongozi wao
  • Kuweka utaratibu mzuri wa Uwazi na Uwajibikaji
  • Kujenga mazingira bora ya kuvutia Wananchi kushiriki kikamilifu katika shughuli za maendeleo kwenye maeneo yao
  • Kupunguza Migongano Kati ya Madiwani, Watendaji na Wananchi
  • Kuweka Bayana Maadili yanayotegemewa kwa Viongozi katika Jamii ya watu: na 
  • Kuibuwa na Kudumisha Demokrasia

Akihitimisha Kanuni kuhusu Maadili ya Madiwani Alisisitiza kuwa:

  1. Kanuni za Maadili ya Madiwani zinaweka na kufafanua maadilim yanayotakiwa kuzingatiwa na madiwani. Lakini ingefaa ikumbukwe kuwamaadili ni tabia na pia ni mwenendo. Kinachotakiwa ni kiongozi kuwa mfano wa uadilifu na uaminifu na wakati wote kuweka mbele maslahi ya umma badala ya maslahi yake binafsi.
  2. Diwani akifanya kazi zake kwa uadilifu na uaminifu, na kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa, atajiletea heshima yeye mwenyewe na pia Halmashauri yake.
  3. Maadili ya viongozi wa umma kwa nchi yoyote ni jambo muhimu linalowahusu viongozi wote bila kujali tofauti zao za kiitikadi. Vyama vya siasa vinaweza kutofautiana kisiasa, kiitikadi na hata kimtazamo na hivyo kuwa na sera tofauti, lakini machoni mwa wananchi kinachotazamiwa ni uadilifu wa viongozi bora na ubora wa huduma zinazotolewa na viongozi wao.
  4. Madiwani wanatakiwa kutoa mfano bora wa uadilifu ikiwa ni pamoja na kutojihusisha kabisa na rushwa. Kwa kufanya hivyo wanaweza kusimamia maadili kwa wale walio chini yao.

Mafunzo hayo Yaliahirishwa kwa Maswali na Majibu na MKurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga aliyaahirisha Mafunzo hayo saa 9 Alasiri huku akiwasisitiza Waheshimiwa Madiwani na Wawezeshaji kuhakikisha wanafika kwa Wakati kama Walivofanya leo ili Mada zilizoandaliwa zitolewe na kuisha kwa wakati.

































Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.