• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

MKURUGENZI BEREGE AFANYA KIKAO KAZI CHA KWANZA NA WATENDAJI WA KATA

Posted on: July 11th, 2023

MKURUGENZI MTENDAJI AFANYA KIKAO KAZI NA WATENDAJI WA KATA

Na Afisa Habari Shinyanga DC

Maafisa Watendaji wa Kata wametakiwa kufanya kazi kwa kufwata taratibu, kanuni na sheria za Utumishi wa Umma.

Mkurugenzi  Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga  Ndg; Simon Berege ametoa maagizo hayo katika kikao kazi  cha  kusikiliza na kutatua changamoto wanazo kutana nazo Watendaji wa Kata katika maeneo yao ya kazi. Pia kuhimiza kuongeza juhudi za ukusanyaji mapato na usimamizi wa Miradi  Ya maendeleo inayotekelezwa katika Halmashauri.

 

Akiongea katika kikao hicho Mkurugenzi Berege amewataka Maafisa  Watendaji wa Kata kuhakikisha wanafanya vikao na wananchi ili kuongeza uelewa na ufahamu katika Jamii juu ya Miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali. Nakutumia vikao ivyo kama majukwaa ya kutoa Elimu kwa jamii juu ya mfumo wa mapato wa Tausi.


Aidha, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri  ametoa maelekezo yafwatayo;
1. Kutengeneza Mkataba wa makabidhiano wa mashine za POS kati ya Halmashauri na Watendaji wa Kata.
2. Kuimarisha ushirikiano kati Watendaji wa Kata na watumishi wengine wa Halmashauri katika zoezi la ikusanya mapato ili kuongeza mapato ya Halmashauri.
3. Vikao vyote vya kisheria vifanyike kwa wakati.
4. Kufungua ofisi kwa wakati, muda wa kuanza kutoa huduma ni 1:30 Asubuhi.
5. Elimu ya mfumo wa mapato wa TAUSI   itolewe kwa Watendaji wa Kata




Mwenyekiti wa Maafisa Watendaji wa Kata  akiaongea kwa niaba ya Watendaji wa Kata  alisema “ tutasimamia  ukusanyaji wa mapato kwa uwadilifu na uwaminifu mkubwa kwa kushirikiana na timu ya usimamizi wa ukusanyaji mapato ya Halmashauri.

 

Akifunga kikao Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya shinyanga Mhe; Ngasa Mboje  alihimiza Watendaji  wa Kata kutimiza wajibu na kufwata taratibu zilizowekwa. Pia kuongeza juhudi za ukusanyaji mapato na usimamizi wa Miradi ya maendeleo  inayotekelezwa katika Kata zao.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.