• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Shinyanga District Council
Shinyanga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

MKOA WA SHINYANGA WAADHIMISHA MIAKA 59 YA MUUNGANO WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KWA KUZINDUWA MIRADI MBALI MBALI, SHUGHULI ZA KUTUNZA MAZINGIRA NA MICHEZO MBALI MBALI HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA

Posted on: April 26th, 2023

MKOA WA SHINYANGA WAADHIMISHA MIAKA 59 YA MUUNGANO WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KWA KUZINDUWA MIRADI MBALI MBALI, SHUGHULI ZA KUTUNZA MAZINGIRA NA MICHEZO MBALI MBALI HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA

NA AFisa Habari Shinyanga DC


Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Chrisitian Solomon Mndeme tarehe 26/04/2023 ameongoza wakazi wa Mkoa wa Shinyanga katika kuadhimisha sherehe za miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa kuzindua Miradi mbalimbali Manispaa ya Shinyanga na kuwataka Wananchi wa Mkoa wa Shinyanga kuhakikisha Miradi inatunzwa ili kunufaisha Vizazi na vizazi vijavyo.

Akizungumza mara baada ya kuweka jiwe la msingi katika Zahanati ya MAsekelo, Mhe. Mndeme aliwaambia wananchi hao kuwa ni muhimu sana kuendelea kujivunia Muungano wetu wa Tanganyika na Zanzibar kwa kuwa ndiyo umeweza kuwakutanisha leo katika tukio hilo muhimu kabisa la uzinduzi wa Zahanati ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Ilani ya Çhama Cha Mapinduzi  yam waka 2020 ambacho kilizaliwa kutoka katika Muungano ambao leo una miaka 59.

"Ndugu zangu wananchi, leo tupo hapa kwenye tukio muhimu kabisa tena linalohusu afya za watu wetu tukiwa na amani, upendo, mshikamano na udugu wetu huu mnaouona ni matunda ya Muungano ulioasisiwa na viongozi wetu Sheikh Abeid Amani Karume aliyekuwa Rais wa Zanzibar na Mwl Julius Nyerere aliyekuwa Rais wa Tanganyika wakati huo. Hivyo ni muhimu sana kwetu sisi tunapokwenda kuadhimisha sherehe hizi tuuenzi Muungano wetu, tuwaenzi waasisi wa Muungano kwa kudumisha upendo, amani na mshikamano," alisema Mhe. Mndeme.



Awali akifungua maadhimisho hayo katika viwanja vya Zimamoto aliwahutubia wananchi waliokuwa wamejaa uwanjani hapo alisema Shinyanga inajivunia Muungano kwa kuwa imepiga hatua kubwa sana katika nyanja mbalimbali ikiwamo Elimu, Afya, Miundomniju, ustawi wa wananchi kiuchumi nk.

Alieleza kwa ufasaha hatua zote za maendeleo zilizopigwa katika Nyanja zote tangu uhuru akilinganisha na sasa, Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa alitaja mafanikio makubwa yaliyoletwa baada ya kuungana na kusema ni lazima wana Shinyanga tujivunie sana mafanikio yaliyopatikana.



Pamoja na mafanikio lukuki yaliyopatikana ndani ya miaka 59 ya Muungano, lakini Mkoa wa Shinyanga umepiga hatua kubwa sana katika Elimu ambapo miaka 59 iliyopita mpaka sasa Shinyanga ina jumla ya shule 646 huku akielezea upande wa Afya kuwa miaka 59 iliyopita Mkoa  wa Shinyanga ilikuwa na Zahanati 10 tu, ambapo mpaka kufika leo kuna jumla ya Zahanati 250.

Kwa Upande wa Shinyanga Dc, Maadhimisho hayo yaliitimishwa tarehe 25/04/2023 kwa kufanya shughuli mbali mbali ikiwemo upande miti, zaidi ya Miche 1,000 ilipandwa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga pamoja na shughuli mbalimbali ikiwemo michezo mbali mbali ya Draft, kucheza bao na michezo ya mpira, ambapo timu ya mpira wa Miguu ya Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga ilishindana na timu ya wana zengo toka iselamagazi.
kuona Video tafadhali funguwa kiungo kifuatacho https://www.youtube.com/watch?v=SlShHNHckxU&t=141s

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI - AJIRA ZA MUDA USIMAMIZI WA MIRADI November 04, 2022
  • TANGAZO LA KAZI - AJIRA ZA MUDA USIMAMIZI WA MIRADI November 04, 2022
  • UPANGISHAJI WA MAJENGO YA OFISI NA NYUMBA ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA ZILIZOPO MANISPAA YA SHINYANGA July 02, 2020
  • TANGAZO MAPOKEZI YA FEDHA February 09, 2021
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC SAMIZI AWASHUKURU WAJUMBE WA MKOMBOZI MINING GROUP KITALU NAMBA 11 MWAKITOLYO KWA KUMALIZA MGOGORO BAINA YAO, AWATAKA KUFANYA KAZI NA KUWANUFAISHA WANANCHI WA ENEO LENYE MGODI. AKAGUWA MRADI WA UJENZI WA MADARASA MATATU NA OFISI YA WALIMU

    May 03, 2023
  • MKOA WA SHINYANGA WAADHIMISHA MIAKA 59 YA MUUNGANO WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KWA KUZINDUWA MIRADI MBALI MBALI, SHUGHULI ZA KUTUNZA MAZINGIRA NA MICHEZO MBALI MBALI HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA

    April 26, 2023
  • UZINDUZI WA KAMATI YA WATU WENYE ULEMAVU

    February 28, 2023
  • MKUU WA WILAYA MPYA MHE. SAMIZI ATEMBELEA SHINYANGA DC, AZUNGUMZA NA WATENDAJI WA KATA NA KUHUDHURIA BARAZA LAKE LA KWANZA LA MADIWANI KUPITISHA RASIMU YA BAJETI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA

    February 02, 2023
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa