• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

Miradi 9 yapitiwa na Mwenge wa Uhuru 2019 Wilayani Shinyanga

Posted on: May 15th, 2019

Mwenge wa Uhuru Wilayani  Shinyanga  umepokelewa tarehe   13.05.2019 katika  kata ya Pandagichiza  kijiji cha Shilabela  ukitokea Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu.  

Mwenge wa Uhuru Mwaka 2019 katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga ulikimbizwa kwenye urefu wa kilomita 81.4 na ulipitia miradi 9, kati ya hiyo, miradi 2 imezinduliwa, 1 umeonwa, 2 imewekewa jiwe la msingi, 2 imefunguliwa na miradi 2 umekabidhiwa. Miradi yote hii ina thamani ya jumla ya shilingi 812,653,723.00 kwa mchanganuo ufuatao: -

1.       Sekta binafsi Sh..........................................              145,037,430.00

2.       Halmashauri Sh .........................................                34,365,000.00

3.       Serikali kuu  Sh ..........................................               581,958,593.00

4.       Wananchi Sh ..............................................                51,292,700.00

 

Jumla ........................................................................                812,653,723.00

Miradi iliyopitiwa na Mwenge wa Uhuru ipo katika Sekta za Elimu, Maji, Afya na Maendeleo ya Jamii.  Pamoja na kupitia miradi ya maendeleo, Mbio za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka huu wa 2019 zimebeba ujumbe usemao “Maji ni haki ya kila mtu, tutunze vyanzo vyake na tukumbuke kushiriki uchaguzi wa Serekali za Mitaa” Ujumbe huu unaambatana na kauli za uhamasishaji kuhusu:-

Mapambano dhidi ya RUSHWA chini ya kauli mbiu “Kataa Rushwa, Jenga Tanzania”.

Mapambano dhidi ya UKIMWI chini ya Kauli Mbiu “Pima, Jitambue, Ishi”.

Mapambano dhidi ya DAWA ZA KULEVYA; chini ya Kauli Mbiu “Tujenge Maisha Yetu, Jamii Yetu na Uhuru wetu Bila Dawa za Kulevya”.

Mapambano dhidi ya MALARIA chini ya Kauli Mbiu “Nipo Tayari kutokomeza Malaria, Wewe je”.

 


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.