• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

MIKOPO YA SERIKALI IMEBORESHA MAISHA YA VIJANA WA HALMASHAURI YA SHINYANGA

Posted on: August 12th, 2024

Vijana 18 kutoka Kikundi cha Bodaboda Solwa, Kata ya Solwa wamesema kuwa hali yao ya kiuchumi imeboreshwa kutokana na mkopo wa shilingi 26,000,000 wa mwaka 2021 ikiwa ni mikopo ya kuwawezesha vijana kiuchumi inayotolewa na Halmashauri.


Hayo yamebainishwa na Katibu wa kikundi hicho cha bodaboda, Ndg.Patrick Victor Katwale wakati akisoma taarifa ya shughuli za kiuchumi za kikundi hicho kwa Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Ndg. Godfrey Mnzava wakati Mwenge ulipopita kukagua mradi huo Agosti 12, 2024.


Akielezea mafanikio yaliyopatikana kutokana na mkopo huo, Kitwale amesema hadi sasa vijana sita wamefanikiwa kujenga nyumba za kisasa ambazo wanaishi, vijana wawili wamenunua viwanja, kikundi kimejenga banda ( kijiwe) eneo la senta Solwa ambalo huwakinga na jua pamoja na mvua.


Mafanikio mengine ni pamoja na kufanikiwa kununua pikipiki 11 baada ya kikundi kuongeza fedha na pia kikundi kimepata cheti cha pongezi kutoka halmashauri kwa kumaliza rejesho la mkopo huo kwa wakati.


Naye Mnzava akizungumza na vijana hao, ameipongeza Serikali kupitia halmashauri kwa kuwawezesha vijana kiuchumi na amewaasa vijana nchini kuhakikisha wanafanya marejesho ya mikopo ilitotolewa na Seikali ili kiwezesha vijana wengi zaidi waweze kunufaika na mikopo ya Serikali.


Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga ilitekeleza programu ya mfuko wa mikopo kwa wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kama ilivyo kwa Halmashauri zote nchini kufuatia agizo la Serikali la mwaka 1998 kuwa Halmashauri zote nchini zianzishe mfuko huo kwa kutenga asilimia 10% ya mapato yake ya ndani.


Kwa sasa halmashauri inaendelea kutenga 10% ya mapato yake kwa ajili ya mikopo kwa makundi tajwa wakati ikisubiri maelekezo ya Seikali kuhusu utaratibu mpya wa program ya utoaji mikopo kwa makundi hayo




Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.