• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

Mbunge jimbo la solwa afungua shule ya sekondari

Posted on: July 5th, 2019

Mbunge wa jimbo la Solwa Mh.Ahmed Ally Salum leo tarehe 05 Julai , 2019 amefanya ufunguzi wa shule mpya ya sekondarin ya Mwalukwa iliyopo katika kata ya Mwalukwa wilayani Shinyanga.Shule hiyo yenye jumla ya vyumba vitano vya madarasa ,ofisi moja ya walimu ,maabara mbili ,matundu mawili ya vyoo vya walimu , nyumba mbili za walimu pamoja matundu manne ya vyoo vya wanafunzi.

Kutoka upande wa kulia Mbunge wa jimbo la Solwa Mhe. Ahmed Ally Salum ,kati Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Bi. Hoja N. Mahiba pamoja na Mhe.diwani na Mwenyekiti wa Kamati ya Afya,Elimu na Maji kutoka kata ya Masengwa Ndg. Nicodemus L. Simon.

Shule ya sekondari Mwalukwa imesajiriwa kwa  namba S.5205 ina jumla ya wanafunzi 214,wasichana 114,wavulana 100.Mpaka sasa ina kidato cha kwanza mpaka tatu. Ujenzi wa shule umekamilika kwa kutumia fedha za Halmashauri ,Mfuko wa jimbo pamoja na nguvu za wananchi.

Kukamilika kwa  ujenzi wa shule ya sekondari Mwalukwa kutapelekea mafanikio makubwa ya kielimu ndani ya vijiji vya kadoto,ng'hama,bulambila na mwalukwa vilivyopo katika kata hiyo lakini pia kutapunguza umbali kwa wanafunzi ambapo hapo awali walikuwa wakiladhimika kutembea zaidi ya kilomita kumi ili kufika shule ya sekondari Pandagichiza.

"Kukamilika kwa ujenzi shule hiyo kutasaidia  kuboreshwa kwa elimu kwani hapo awali hapakuwa na shule ya sekondari katika kata hiyo,alisema Afisa elimu wilaya ndg.Stewart Makali".

Mhe. Mwenyekiti Bw. Ngassa S. Mboje alipokuwa akizungumza na wananchi wa kata ya Mwalukwa wakati wa ufunguzi wa shule ya sekondari Mwalukwa iliyopo katika kata ya Mwalukwa Wilayani Shinyanga.

Aidha shule ya sekondari Mwalukwa inakabiliwa na upungufu wa miundombinu mbalimbali ikiwemo:-

- Upungufu wa maabara ya Chemistry,nyumba nne za walimu,jengo la utawala,vyumba vya madarasa,matundu ya vyoo,pamoja na viti na meza za wanafunzi.

Mikakati iliyopo kuanzishwa kwa  ujenzi mwingine wa vyumba vitano vya madarasa vyenye thamani ya Tshs. 85,075,272/-.

Pia halmashauri kwa kushirikiana na mdau wa maendeleo kutoka shirika la peace coop ina mpango wa kujenga matundu 16 ya vyoo, vyenye gharama ya Tshs. 30,595,413.60/- ambapo jamii iliyopo inatakiwa kuchangia asilimia 25 ambayo ni sawa ni Tshs.7,648,853.4/-.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.