• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

MARUFUKU KUUZA CHAKULA MAENEO YA SHULE

Posted on: January 15th, 2024


Maagizo hayo yametolewa na Mwenyekiti wa Kamati ya Afya ya Msingi Mhe. Johari Samizi Mkuu  wa Wilaya ya Shinyanga. Katika Kikao cha Kamati hiyo  kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano uliopo Ofisi ya Mkuu wa Wilaya, Tarehe 15/1/2024.


Kikao hicho kimeongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi na kuhudhuliwa na Kamati ya Usalama ya Wilaya, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga  Mhe. Ngassa Mboje, Wakuu wa Divisheni na Vitengo wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Ndg. Kisena Mabuba,Wataalam kutoka Wizara ya Afya, Viongozi wa Taasisi mbalimbali, Viongozi wa Dini na Waandishi wa Habari.


Mwenyekiti wa Kamati ya Afya ya Msingi Mhe. Samizi akizungumza akatika Kikao hicho amepiga marufuku uuzaji wa Vyakula maeneo ya Shule kwa kipindi hiki cha mlipuko ya Magonjwa ya Kuhara na Kutapika na kuwataka Wazazi wachangie Chakula Shule ili Wanafunzi waweze pata chakula shuleni kilicho salama kwa afya zao.

Mhe. Samizi ameagiza taarifa zitolewe mara moja kwa Jamii kuhusu uwepo wa  Ugonjwa wa Kipindupindu kupitia Vyombo vya Habari, Matangazo ya Barabarani, kwenye Mikutano ya Hadhara kama vikao kuanzia Ngazi ya Mtaa hadi Kata , Taasisi za Elimu na Taasisi za Dini.


Awali, Mkuu wa Wilaya  alisema  Magonjwa hayo ya mlipuko husababishiwa na mazingira mchafu, hivyo viongozi wanatikiwa kuhakikisha maeneo yao yanakuwa masafi  hasa maeneo ya huduma za Chakula na vyazo vya Maji ili kudhibiti Magonjwa ya mlipuko hasa kipindupindu.

Aidha, amewaagiza Wakurugenzi  Watendaji wa Halmashauri kuhakikisha Maeneo ya Masoko, Magulio na Minada kunakuwa na Vyoo bora na Maji safi tiririka  ili kuepuka kusambaa kwa Magonjwa ya mlipuko ya kuhara na kutapika.





Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.