• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

MAKABIDHIANO YA OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA

Posted on: December 23rd, 2023

Kufuatia mabadiliko yaliyofanywa Disemba 14, 2023 na Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mhe.  Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuhamisha vituo vya kazi   Wakurugenzi wa Halmashauri kote Nchini Tarehe  23 Disemba, 2023  Aliykuwa Mkurugenzi Mtendaji  wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Ndg. Simon Berege  amekadhi  Ofisi kwa Mkurugenzi mpya Ndg. Kisena Magena Mabuba.


Makabidhiano hayo yamfanyika katika Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri  yakishuhudiwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Ngassa Mboje  Wakuu wa Divisheni na Vitengo pamoja na Watumishi mbalimbali wa Halmashauri.

Awali, wakati wa makabidhiano hayo aliekuwa Mkurugenzi Mtendaji  wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga  Ndg. Simon Berege ametumia fursa hiyo kuwashukuru Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga kwa ushirikiano mkubwa waliompatia kwa kipindi chote cha utumishi wake kama Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga


.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri wa Wilaya ya Shinyanga Ndg. Kisena Mabuba.  Ametumia nafasi  hiyo kumshukuru Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.  Samia  Suluhu Hassan kwa kuendelea kumuamini.


Aidha, Amempongeza Mkurugenzi Ndg. Simon Berege kwa usimamizi mzuri wa Miradi ya maendeleo na kuahidi kuendeleza pale alipoishia.

 Mkurugenzi Mabuba, amewaomba Watumishi kumpa ushirikiano ili kwa pamoja kuleta maendeleo Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga.


.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.