• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

Makabidhiano Wakurugenzi Shinyanga DC Yafanyika

Posted on: August 11th, 2021

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Bi. NICE R. MUNISSY leo tarehe 11/08/2021 amekabidhiwa Nyaraka Muhimu za Makabidhiano ya Ofisi na Mkurugenzi anayeondoka Bi. Hoja N. Mahiba kama Vitendea kazi vya Ofisi huku wakishuhudiwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Mhe. Ngassa S. Mboje.


Bi. Hoja Mahiba alimkabidhi Ilani ya Chama cha Mapinduzi kama Nyenzo Muhimu ya Ufanyaji kazi. pia Alimkabidhi Taarifa za Wakuu wa Idara na Vitengo pamoja na Shughuli za kila Idara na Vitengo. pia Alimkabidhi Taarifa muhimu ya Mali za Halmashauri mbele ya Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri.


Akizungumza kwenye Hafla hiyo, Mkurugenzi anayeondoka Bi. Hoja Mahiba Aliwashukuru sana Viongozi na Wafanyakazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga kwa ushirikiano waliompa na kuwaomba ushirikiano huo huo wampatie Bi NICE. "Ushirikiano huu mlionipa, umetusaidia kufanya makubwa, hasa kwenye kupandisha Mapato ya Halmashauri, Nawaombeni muuendeleze na Kumpatia Mkurugenzi wetu mteule alieingia"... Aliwasihi wafanyakazi kuwa kama kuna Madhaifu aliwatendea wakati wa Utendaji kazi wake basi anaomba wamsamehe sana na wajuwe kuwa hakuwa na nia mbaya bali ni utekelezaji wa Shughuli za Serikali.

Akiongea kwenye Makabidhiano hayo, Bi NICE Alisema " Mimi naamini sana kwenye "Team Work"" Alisisitiza. alisema yeye ni muamini sana wa Haki, aliwaomba wafanyakazi kufanya kazi kwa Bidii na kuwa wabunifu. :"Napenda sana 'Creativity' Idara na Vitengo ningependa sana nione creativity. alisisitiza Mkurugenzi huyo Kijana. Makabidhiano hayo yalifanyika mbele ya Mkuu wa Idara ya Utumishi na Utawala wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Ndugu Muhochi Fredy Mweka, pamoja na wakuu wa Idara na Vitengo.

Mhe. Ngassa S. Mboje akizungumza kwenye Makabidhiano hayo, Alisisitiza  kuwa Bi Hoja alikuwa Kiongozi wa Aina yake, mwerevu, msikivu, hakuwa mtu wa kujikweza, Mwenye kumheshimu kila mtu, alisisitiza kuwa Alijenga Mahusiano mazuri kati ya Waheshimiwa Madiwani, Viongozi wakiwemo wabunge, wakuu wa Wilaya na Viongozi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama. "kwa kweli kwenye Jambo Hoja alifanikiwa sana ni kujenga mashirikiano na Masikilizano kati ya Viongozi, madiwani na wataalam" Tumekuwa kitu kimoja kwa muda wote alipokuwa hapa". hakupenda kusikia migogoro na hivo aliishughulikia mapema kwa kuzungumza na wadau wote migogoro inapotokea. alimuomba Bi NICE kufata nyayo za Mtangulizi wake kwenye kuendesha hii Halmashauri. mheshimiwa Mwenyekiti mara kwa mara alionekana kukatiza Hotuba yake hali wengi waliitasiri kama Majonzi kushindwa kuhimili kuona Bi. Hoja akiondoka.

Akimsaidia, Mh Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, Mh Isaack M Sengerema,  kumalizia Hotuba yake,,alisisitiza kuwa wanamuomba sana Mwenyezi Mungu kuwa moyo aliokuwa nao Bi Hoja ndio huo huo awe nao Bi NICE, Mkurugenzi Mpya wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga.

Mh Sengerema alisisitiza kuwa hata Jamii ya wana Iselamagazi (Ambapo yeye ni Diwani) kwa muda wa Miaka miwili sasa tangu Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga ihamie Iselamagazi, Jamii imekuwa Ikiona mchango wa Mkurugenzi anayeondoka kwenye Shughuli za Kijamii hasa Misiba, Harusi na Shughuli za Kidini. mara zote. "Bi Hoja amekuwa mstari wa mbele kujihusisha na shughuli za wananchi wa Eneo la Iselamagazi kitu ambach Jamii hii itamkumbuka sana".


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.