• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

MAFUNZO YATOLEWA KWA WAFUGAJI WA NG’OMBE WA MAZIWA

Posted on: March 19th, 2024

Halmashauri ya Wialaya ya Shinyanga kwa kushirikiana na Mama O Daries  yatoa mafunzo kwa wafugaji kutoka Kata ya Tinde, Didia, Nyida, Puni na Usule. Mafunzo hayo yalifunguliwa na Mhe. Luhende Masele Diwani Kata ya Didia.


Lengo la mafunzo hayo ni kuwazesha wafugaji kufanya ufugaji wa kisasa na kupelekea kuongezeka kwa UZALISHAJI na upatikanaji wa maziwa.


Akifungua mafunzo hayo mhe. Masele alisema mafunzo hayo ni muhimu kwa wafugaji kujiwezesha kiuchumi. Nawasii wafugaji watumie maarifa watakayoyapata kwenye mafunzo haya na kuyafanyia  kazi.


Aidha, mhe. Masele alisema baadhi ya wafugaji wamekuwa hawazingatii kanuni za ufugaji bora kama vile kuosha mifugo, kuchanja mifugo, kujenga mazizi bora, kuwapatia lishe bora pamoja na kuwa na idadi kubwa ya ng'ombe katika eneo dogo. Hali hiyo hupelekea upatikanaji wa maziwa pamoja na mazao mengine yatokanayo na Ng'ombe kuwa hafifu.



“ wataalam wa mifugo wa Halmashauri wapo na wana Elimu na ujuzi  tuwatumie ipasavyo na wakileta chanjo kwa ajili ya Mifugo tuhakikishe tunapeleka ng’ombe ili kuwakinga na magonjwa. Tukizingatia haya uzalishaji wa maziwa utaongezeka na tutainuka kiuchumi" alisema Mhe. Masele.


Awali, Mwezeshaji wa mafunzo hayo,Mtaalam wa Mifugo kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, Dkt Isaya Gabiriel alisema, iliNg’ombe aweze kutoa Maziwa kwa wingi ni lazima awe na Afya bora. Hivyo ni lazima Mfugaji azingatie Chanjo,, Matunzo bora,Tiba, Uogeshaji na  Uvyuvyiziaji.



Kwa upande wake Mkurugenzi wa Kampuni ya Mama O Daries  Bi. Thabitha Gityamwi aliwataka wafugaji kufanya ufugaji wa kisasa huku wakifanya kazi kwa ukaribu na wataalamu wa mifugo na kuzingatia ushauri wanaotoa ili kuongeza upatikanaji wa maziwa na kukuza kipato kwa wafugaji. Bi. Thabitha alieza jinsi kampuni yake itakavyofanya kazi na Wafugaji hao na Kutoa Soko la uhakika la maziwa, kampuni ya hiyo itanunua kila lita moja  ya maziwa kwa sh. 1000.


Mhe. Luhende Masele, Diwani wa Kata ya Didia akizungumza wakati wa 

mafunzo kwa wafugaji.


Dkt. Isaya Gabiriel akitoa mafunzo kwa Wafugaji

Mfugaji kutoka Kata ya Tinde Bw. Manyesha Shilatu akichangia Mada wakati

 ya Mafunzo.

Mfugaji kutoka Kata ya Nyida Bi. Marija Mbata akizungumza wakati wa mafunzo

Mkurugenzi wa Kampuni ya Mama O Daries  akielezea jinsi kampuni yake

 itafanya kazi na wafugaji hao.

Picha ya pamoja ya Mgeni Rasmi Mhe. Luhende Masele , Wataalam kutoka

 Halmashauri, Mkurugenzi wa Mama O Daries na Wafugaji baada ya Mfunzo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.