• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

Mafunzo ya Mfumo wa Mapato kwa Wakuu wa Idara na Vitengo

Posted on: May 2nd, 2018

Mnamo tarehe 01.05.2018, Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga iliendesha mafunzo ya mfumo wa mapato katika ukumbi wa Halmashauri,mafunzo hayo yakijumuisha Wakuu wa Idara na Vitengo .Malengo ya kuanzishwa kwa mafunzo hayo kwa Wakuu wa Idara na Vitengo ilikuwa ni pamoja na 

  1. Kuwapa uwelewa Wakuu wa Idara na Vitengo juu ya ufanyaji kazi wa mfumo wa mapato na ukusanyaji wa mapato kwa vyanzo mbalimbali.
  2. Ukusanyaji na Udhibiti wa mapato wakati wa kukusanya.
  3. Ufanyaji kazi wa POS
  4. Mawasiliano ya LGRCIS na mifumo mingine.

Ufanyaji Kazi wa Mfumo

Pia,walielekezwa ufanyaji kazi wa mfumo ili kuhakikisha ufanisi wa ukusanyaji unakuwepo

  1. Usajili wa POS kwenye daftari la kudumu (location ,jina la mkusanyaji )
  2. Uwekaji wa roller kwenye 'POS Printer'
  3. Taratibu za marekebisho ya bill zenye makosa
  4. Utoaji wa mafunzo sahihi kwa watumiaji
  5. Uwepo wa faili la barua za kuomba kuziondoa risaiti zenye makosa

MAMBO YA KUZINGATIA KWA WAKUU WA IDARA NA VITENGO WAKATI WA UKAGUZI

  1. Watumiaji wa POS kurudisha tarehe nyuma kwenye POS
  2. Watumiaji kuzima data au kweka POS kwenye flight mode
  3. Malipo yote lazima yapitie bank ,Cashier asipokee cash

AINA ZA VYANZO VYA MAKUSANYO KWENYE MFUMO

Walielekezwa aina 2 za vyanzo vya makusanyo

  1. Chanzo kutokana na Mteja asiye wa kudumu ( Miscellaneous Source)
  2. Chanzo kutokana na Mteja wa kudumu ( Main Source)

CHANZO KUTOKANA NA MTEJA ASIYE WA KUDUMU

Chanzo hiki huitwa (Miscellaneous Sources) mara nyingi mteja wake si wa kudumu , hawa watalipa kwa mkataji wa ushuru kwa kutumia POS na baadae mkata ushuru atafuata bill ya wote aliowakatishia ushuru kwa ujumla wake na kwenda kuwasilisha fedha benki halafu atapeleka deposit slip kwa mtunza fedha na kupewa stakabadhi.Mfano wa vyanzo vya Missellenous Sources ni pamoja na ushuru wa minada,ushuru wa soko au Vizimba 

CHANZO KUTOKANA NA MTEJA WA KUDUMU

Chanzo hiki huitwa' Main Source' maana yake mteja mwenyewe ndiye hufika Halmashauri na kuchukua bill yake ambayo ataenda nayo benki kwa ajili ya kufanya malipo ya fedha.Mfano wa chanzo hiki ni pamoja na:- Property Tax,House Rent,hotel levy ,business license.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.