• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

MADIWANI HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA WAPITISHA MAPENDEKEZO YA BAJETI YA TSH.BILIONI 40.5 KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025

Posted on: February 8th, 2024

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga leo Februari, 2024 limeridhia na kumepitisha Mpango na Bajeti ya Tsh.  Billion 40.5 kwa mwaka 2024/2025. Maamuzi hayo yamefanyika  wakati wa  mkutano maalumu wa baraza hilo uliofanyika katika  ukumbi wa mikutano  wa halmashauri . Fedha hizo zitatumika katika kutekeleza shughuli mbalimbali za utoaji huduma, utawala na utekelezaji wa miradi  ya maendeleo.


Akiwasilisha rasimu ya Mpango na Bajeti ya mwaka 2024/2025 kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri , Afisa Mipango, Bw. Mathew Kayanda ameeleza  kuwa bajeti hiyo imezingatia miongozo ya kitaifa na halmashauri. Miongozo hiyo ni pamoja na kupokea mapendekezo kutoka kwa  wajumbe mbali mbali  katika ngazi ya  Wilaya, Kata, Vijiji, Vitengo na Divisheni za Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga .


Aidha, Bw. Kayanda amefafanua kwamba katika rasimu hiyo ya Bajeti , kiasi cha Bilioni 3.4 ni fedha zitatokana na vyanzo vya mapato ya ndani ya Halmashauri, kiasi cha shilingi  Bilioni 24.9 ni ruzuku ya  mishahara ya Watumishi, kiasi cha shilingi milioni 1.2 ni ruzuku ya uendeshaji wa ofisi ( OC) na kiasi cha Bilioni 10.4 ni kwa ajili ya kutekeleza Miradi ya Maendeleo kutoka Serikali kuu na wahisani.


Naye Mwenyekiti wa Halmashauri katika hotuba yake amemtaka Mkurugenzi Mtendaji wa halmasahuri ya Wilaya ya Shinyanga kuendeleza jitihada alizozianzisha katika kutekeleza majukumu ya halmashauri na kumtaka kutekeleza miradi ya maendeleo kwa wakati  ili wananchi wafurahie matunda ya nchi yao. .... “ nina  imani kubwa na wewe na sina  mashaka na utendaji kazi wako” amesema Mweyekiti


Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wakati wa kujibu  mbalimbali, Mkurugenzi amesema amebaini kuwa vyanzo vingi vya mapato haviwekwi kwa uhalisia na hata vinavyowekwa havifikii malengo. Hivyo, amewaomba Waheshimiwa Madiwani na kuwataka watendaji wa halmashauri kuwa kitu kimoja na kufanya kazi kwa ushirikiano ili kuleta maendeleo kwa wananchi. “.....pale ambapo hatufanyi vizuri tuambiwe pasipo kuoneana haya na tunapokosea tukosolewe kwa staha kwa kuwa wote tunaijenga halmashauri moja’....ameeleza Mkurugenzi Mtendaji.

Mwenyekiti wa Halmashauri, Mhe. Ngassa Mboje akifungua kikao cha Baraza

 la maalumu la kujadili na kupitisha rasimu ya Mpango na bajeti.


Mkurugenzi Mtendaji  wa Halmashauri  ya Wilaya Ndg. Kisena Mabuba 

 akichangia mada wakati wa  kikao cha baraza maalumu la madiwani.

Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga 

wakisikiliza kwa makini uwasilishwaji wa mpango na bajeti ya 2024/2025.

Wajumbe wa kikao cha Baraza maalum  la waheshimiwa Madiwani 

Wakichangia mada.

Kamati ya Usalama ya Wilaya na Wataalamu wa Halmashauri ya 

 Wilaya ya Shinyanga wakati wa Mkutano wa Baraza la Madiwani



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.