• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

MAAFISA KILIMO WAPATIWA VISHKWAMBI NA VAZI MAALUM KURAHISISHA UTENDAJI KAZI

Posted on: September 11th, 2024

Mkuu wa Divisheni ya Kilimo Mifugo na Uvuvi wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Ndg. Edward Maduhu kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji amegawa vishkwambi na sare maalum ikiwa ni vitendea kazi kwa Maafisa Kilimo ili kuwawezesha kufanya kazi zao kwa ufanisi.


Ndg. Maduhu amesema vishikwambi hivyo  vitakuwa na uwezo wa kumrahisishia Afisa Kilimo kwa kutoa taarifa za kila Wiki, Mwezi na Mwaka ambapo  kifaa hicho kinaunganishwa na mifumo ya utendaji kazi kama ARDS, M-Kilimo na Mfumo wa Mbolea hivyo atatoa taarifa  ili ziweze kutumwa Mkoani na Wizarani.


Aidha, amewakumbusha Maafisa Kilimo kwenda kutoa elimu ya upimaji udongo na kuwasaidia kuchukua sampuli na kuzipeleka kwenye maabara ya kitaalamu inayopatikana katika Ofisi za kilimo za Halmashauri. Elimu ya upimaji udobgo itamsaidia mkulima kufahamu shamba lake linaitaji mbolea kiasi gani ili aweze kuongeza tija katika uzalishaji wake.


Wakizungumza baada ya kupokea vishkwambi Ndg. Gabaruda Kidaweda ,Afisa Kilimo kata ya Mwenge na Bi. Odetha Ngimbo Afisa kilimo kata ya Salawe wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuboresha  sekta ya kilimo na  kuondokana na ripoti za makaratasi lakini pia vazi rasmi litawatambulisha kwa wateja kirahisi.


Ugawaji wa vishikwambi kwa Maafisa Kilimo ni mpango wa Wizara ya Kilimo chini ya Waziri mwenye dhamana Mhe,. Hussein Bashe kusaidia maafisa kuweza kuwahudumia wakulima kwa urahisi na kuongeza tija katika ustawishaji wa mazao.

BAADHI YA MAAFISA KILIMO KATIKA PICHA YA PAMOJA BAADA YA KUPOKEA 

SARE NA VISHKWAMBI.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.