• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

LISHE BORA INA UHUSIANO MKUBWA NA UELEWA WA WANAFUNZI SHULENI

Posted on: May 22nd, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Adv. Julius Mtatiro amewaagiza Watendaji wa Kata kushirikiana na uongozi wa shule kufanya mikutano ya mara kwa mara ya kuwahamasisha wazazi kuchangia chakula shuleni ili wanafunzi waweze kupata chakula wawapo Shuleni.


Agizo hilo amelitoa wakati wa kikao cha utekelezaji wa shughuli za lishe kwa kipindi cha Januari hadi Machi 2024 ngazi ya wilaya ambacho kimefanyika Mei 22, 2024 katika ukumbi wa Karijuna uliopo Manispaa ya Shinyanga .


Akizungumza katika kikao hicho Adv. Mtatiro amesema kuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya lishe bora na uelewa wa wanafunzi.


“.......tunahitaji kuwa na kampeni kubwa sana katika hili eneo kwa hiyo niwaombe kwenye shudhuli zenu za uhamasishaji, kwenye vikao na mikutano ya hadhara hii iwe miongoni mwa ajenda yenu kubwa” alisisitiza Adv. Mtatiro


Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Ndg. Kisena Mabuba amewataka watendaji wa Kata kuendelea kutekeleza maagizo yote ambayo yametolewa ili kuhakikisha kuwa wanafunzi wanapata lishe bora wawapo shuleni.


Awali, akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa lishe, Afisa Lishe wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Ndg. Shadrack Daimon amesema Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga imefanikiwa kuwapatia mafunzo ya upimaji hali ya lishe na unasihi wa mada za lishe kwa Wahudumu wa Afya 106 kutoka ngazi ya jamii na Wataalam 22 kutoka vituo vya Afya na Zahanati . Pia, mafunzo ya tathimini ya hali ya lishe  na unasihi wa lishe yametolewa kwa makundi maalum kama Wajawazito, watoto chini ya miaka 5 na wanawake wenye umri wa kuzaa.


 wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Julius Mtatiro akizungumza wakati wa kikao


Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinynga Ndg. Kisena Mabuba 

akizungumza wakati wa kikao


Afisa Lishe wa Halmashauri Ndg. Shadrack Daimon  akiwasilisha taarifa ya

 utekelezaji wa afua za lishe kwa kipindi cha Januari - Machi 





Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga wakiwa kwenye kikao

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.