• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

KONGAMANO LA VIJANA LATUMIKA KUFIKISHA JUMBE ZA MWENGE WA UHURU

Posted on: August 12th, 2024

Vijana wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga wamepata fursa ya kujifunza masuala mbalimbali ikiwemo uchaguzi wa serikali za mitaa, uhifadhi wa mazingira, uzalendo, ukatili wa kijinsia na fursa za kiuchumi katika kongamano lililoandaliwa eneo la mkesha wa Mwenge wa uhuru Agosti 12, 2024.


Kongamano hilo limefanyika katika uwanja wa stendi ya Salawe na kuhudhuriwa na viongozi wa Serikali, taasisi binafsi, wadau kutoka mashirika mbalimbali, wanawake, wazee na wananchi kwa ujumla.


Akizungumza na vijana mara baada ya Mwenge wa Uhuru kuwasili eneo la mkesha, Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa, Godfrey Mnzava, ametoa pongezi kwa halmashauri kufanikisha uwepo wa kongamano hilo na amesisitiza umuhimu wa wananchi kuendelea kuwa wazalendo ili kuendeleza amani na umoja ndani ya Tanzania.


Awali akiwasilisha mada kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa, Afisa uchaguzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Osca Lupavila, amewahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi katika zoezi la kujiandikisha katika Daftari la Wapiga Kura ambalo linatarajiwa kuanza hivi karibuni ili waweze kushiriki kikamilifu katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu .


Lupavila ametumia nafasi hiyo kutaja sifa za mpiga kura na mgombea, akieleza kuwa lazima mpiga kura anatakiwa awe mtanzania mwenye umri wa miaka 18 na kuendelea na awe amejiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura. Kwa upande wa mgombea anatakiwa awe na umri wa miaka 21 na kuendelea, ajue kusoma na kuandika katika lugha ya kiswahili au kiingereza .


Naye Mwakilishi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Shinyanga Bi. Alicia John, amewataka wananchi kujiepusha na vitendo vya rushwa hasa kipindi cha uchaguzi, akisisitiza kuwa ni jukumu la kila mmoja kuzuia rushwa ili kuwezesha uchaguzi ufanyika kwa haki.


Kauli mbiu ya Mwenge wa Uhuru 2024 ni Tunza mazingira na Shiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa ujenzi wa taifa endelevu". 




Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.