• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

KAMATI YA SIASA YA MKOA WA SHINYANGA YATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA

Posted on: February 22nd, 2024

Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Shinyanga imefanya ziara ya kutembelea miradi minne ya maendeleo inayotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga kwalengo la kukagua  nakujionea hatua za utekelezaji wa miradi hiyo.

Ziara hiyo imefanyika Februari 22 ,2023 na kuongozwa na Mwenyekiti wa kamati hiyo Ndg. Mabala Mlolwa. Kamati imetembelea mradi wa ujenzi wa shule mpya ya Sekondari ya Mawemilu katika kijiji cha Mawemilu ambacho ni miongoni mwa vijiji sita vya kata ya  Mwakitolyo.

Akitoa tarifa ya mradi huo, Mtendaji Kata, Bw. Faustine Buyunge amesema kuwa maamuzi ya uanzishaji wa mradi huo yalifanyika kupitia kamati ya maendeleo ya kata iliyoazimia uwepo wa shule  ya pili ya sekondari katika kata hiyo. Mradi huo ukikamilika utasaidia watoto kutotembea umbali mrefu. Kwa sasa vimejengwa vyumba vitatu vya madarasa ambavo vimefikia hatua ya kupauliwa na vimegharimu kiasi cha Tsh.25,214,000.00.

Mradi mwingine uliotembelewa ni matengenezo ya barabara  ya Mwakitolyo- Nyang’ombe katika kata ya Mwakitolyo  wenye thamani ya Tsh. 66,344,000.00 ambao ulianza Februari 06,2024 na unataajiwa  kukamilika Aprili 04, 2024 mwaka huu. Ukamilishaji wa mradi huu utawezesha barabara hiyo kupitika kwa urahisi .

Aidha, kamati imejionea utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa shule mpya ya  Awali na Msingi Songambele iliyopo katika  Kata ya Salawe wenye thamani ya Tsh. 560,330,000.00. Vile vile, kamati imetembelea mradi wa maji ambao upo katika vijiji  vya Nyaligongo na Nyang’ombe ulioanza Januari 31 na utamalizika April 30 mwaka huu.

Akizungumzia kuhusu miradi hiyo, Ndg.Mlolwaamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuipatia halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga fedha ambazo zimewezesha utekelezaji wa miradi ya maendeleo na pia ameipongeza halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga kwa kusimamia vizuri miradi ya maendeleo.


Mwenyekiti wa Kamati  ya Siasa Mkoa wa Shinyanga, Ndg. Mabala Mlolwa 

akifungua bomba la maji  wakati akikagua mradi wa maji unaotekelezwa

 katika vijiji viwili vya Nyaligongo na Nyang’ombe katika halmasahuri ya

 wilaya ya Shinyanga.


Wajumbe wa Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Shinyanga wakikagua mradi

 wa ukarabati wa barabara ya Mwakitolyo- Nyang’ombe katika kata ya

 Mwakitolyo wakati wa ziara ya kukagua miradi ya Maendeleo katika 

Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga


sehemu ya kipande cha Barabara kinachofanyiwa ukarabati


Mtendaji Kata ya Mwakitolyo Bw. Faustine Buyunge, akiwasilisha 

taarifa ya mradi wa shule mpya ya Sekondari ya Mawemilu


Mwonekano wa Shule ya awali ya Songambele

Wajumbe wa Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Shjnyanga wakikagua

 ujenzi wa shule ya Msingi Songambele

Mwonekano  wa mbele wa shule ya Msingi Songambele


Mwonekano wa Shule ya awali ya Songambele

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.