• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

KAMATI YA SIASA SHINYANGA VIJIJINI IMEKAGUA MIRADI YA ELIMU, MAJI NA MIUNDOMBINU

Posted on: June 5th, 2024

 Mwenyekiti wa Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Shinyanga

 Vijijini Mhe. Edward Ngelela amewataka wasimamizi wa miradi kufanya usimamizi mzuri

 wa miradi inayotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga kuwezesha miradi 

hiyo kukamilika kwa wakati na kwa viwango vinavyostahili ili kutimiza azma ya Serikali ya 

kuwanufaisha wananchi.


Maagizo hayo ameyatoa Juni 04, 2024 wakati wa ziara ya kamati ya Siasa ya Wilaya 

kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo  katika sekta ya Elimu, Afya, Jengo la

 Utawala na ujenzi wa barabara.


 Miongoni mwa miradi iliyotembelewa ni pamoja na ukamilishaji wa vyumba viwili vya 

madarasa, ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa mapya na matundu nane ya vyoo

 katika Shule ya Sekondari Pandagichiza, ujenzi wa jengo la utawala la halmashauri na

 ujenzi wa bweni la wanafunzi wenye mahitaji maalumu katika Shule ya Msingi Iselamagazi. 

Miradi mingine ni ujenzi wa mradi wa maji wa vijiji vya Mwampangabule, Sumbingu, Jimondoli 

na Zumve awamu ya kwanza na matengenezo ya barabara ya Mwawaza –Iselamagazi.


Mhe. Ngelela ameipongeza halmashauri kwa usimamizi mzuri wa jengo la utawala la 

halmashauri ambalo kwa sasa liko katika hatua nzuri ya ukamilishaji, ujenzi wa mradi wa maji,

 madarasa na vyoo.


“tunashukuru kwa sasa tunaona kazi inaenda kuliko ilivyokuwa zamani…,walikuwa wameshakata 

tamaa na wananchi waliamini majengo ya Serikali yanaenda pole pole…...”

Naye Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Wakili Julius Mtatiro amesema anayo imani kubwa na utendaji 

wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Bw. Kisena Mabuba na kwamba

 mambo mengi yataenda vizuri chini ya uongozi wake. Ametoa rai kwa   Mwenyekiti wa Halmashauri 

na Baraza lake, Wakuu wa Divisheni na Vitengo kutoa ushirikiano kwa Bw. Mabuba.


 Utaratibu wa Kamati ya Siasa kutembelea miradi ya maendeleo unalenga kujionea utekelezaji 

wa miradi hiyo ili kuhakikisha kuwa miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa viwango vinavyotakiwa 

na kwa dhamani ya fedha iliyotolewa na Serikali.

Wajumbe wa Kamati ya Siasa wakipokea taarifa ya  utekelezaji wa ujenzi wa vyumba viwili vya 

madarasa , ukarabati wa  vyumba viwili vya madarasa na mashimo nane ya  choo katika Shule ya 

Msingi ya Pandagichiza



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.