• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

KAMATI YA MAJANGA NA MAAFA YAFARIJI WAHANGA WA MAAFA KUJIJI MISHEPO

Posted on: April 27th, 2024

Kamati  ya Majanga na Maafa  Halmashauri  ya Wilaya ya Shinyanga yafika msibani kuifariji familia ya Ngassa Mtaluma kufuatia  vifo vya Watoto watatu wa familia hiyo baada ya kuangukiwa  na nyumba  usiku wakiwa wamelala  Aprili 26, 2024 Kijiji cha Mishepo, Kata ya Mwantini.


Mwenyekiti wa Kitongoji cha Miembeni B, Bw. Maasai Senema alisema tukio hilo limetokea kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha na kupelea nyumba kuanguka. Ndani ya nyumba hiyo walikuwa wamelala watu watano ambapo wawili wamenusurika kifo akiwemo Mama mzazi wa Marehemu hao Bi. Kashinje Nchembi.


Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Dkt.. Nuru Yunge akizungumza katika mazishi ya watoto hao alitoa pole kwa familia ya Mtaluma  na kueleza kuwa serikali itaendelea kutoa ushirikiano kwa familia hiyo na kugharamia matibabu ya Bi. Kashinje Nchemmbi, Mama mzazi wa marehemu hao ambaye anaendelea na Matibabu katika Hospitali ya  Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga.


Aidha, Dkt Yunge aliwataka Wananchi kujenga nyumba imara  kwa ajili ya usalama hasa katika kipindi cha masika. Alihimiza Wananchi wanaoendelea kuishi maeneo amabyo yako bondeni na  nyumba ambazo sio imara, kupata hifadhi katika familia zingine kuepusha changamoto zinazoweza kujitokeza kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha. Alielekeza Viongozi na Wataalam ngazi ya kijiji na Kata kufanya ufuatiliaji kubaini na kushauri wananchi walio katika hatia ya kuangukiwa nyumba zao kuhamia maeneo salama ndani ya jamii na maeeno ya taasisi za Serikali kwa ajili ya usalama wao na mali zao.


Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Mwatini Mhe. Mpemba J. Jimali alishukuru Kamati hiyo kufika msibani na kufariji wafiwa. Pia alisema kamati ya maendeleo ya Kata (WDC) watafanya utafiti wa kubaini  Kaya zinazoishi kwenye nyumba ambazo hazina usalama kipindi hiki cha masika ili kudhibiti  majanga na maafa kabla hayatokea.


 


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.