• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

MAJOKOFU YA KUHIFADHIA MAITI HOSPITALI YA WILAYA YA SHINYANGA NA KITUO CHA AFYA TINDE YAPOKELEWA

Posted on: November 5th, 2024

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Ndg. Mathew Kayanda akiwasilisha taarifa yake leo Novemba 5, 2024 wakati wa Baraza la Madiwani katika kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka 2024/2025 amesema halmashauri imepokea majokofu ya kuhifadhia maiti katika Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga na Kituo cha Afya cha Tinde.

 Mapokezi ya majokofu  hayo kutatatua changamoto ya muda mrefu ambayo imekuwa inawakabili  wananchi wanaopoteza wapendwa wao ambao walilazimika kusafirisha miili ya wapendwa wao umbali mrefu kwenda kuitunza kabla ya maziko.


Ndg. Kayanda amelifahamisha baraza kuwa majokofu hayo yamepokelewa kwa nyakati tofauti kutoka Bohari ya Dawa ya Kanda ya Mwanza na yana uwezo wa kuhifadhi miili 6 kwa wakati mmoja huku thamani ya jokofu moja likigharimu shilingi milioni 32 za kitanzania.  Taratibu za kuyasimika   zinaendelea.



Akitoa salamu za Wilaya, Mkuu wa  Wilaya ya Shinyanga Wakili Julius Mtatiro amelipongeza baraza kwa kuendelea kuisimamia halmshauri vizuri lakini na kuwaomba waheshimiwa madiwani kuziwasilisha ofisini kwake changamoto zao walizowasilisha katika Baraza amewaomba ili aweze kuwasaidia kuzitatua.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamaring Macha amesema Madiwani wamefanya kazi kubwa ya kuwahamasisha wananchi kujiandikisha katika daftari la wapiga kura hivyo waendelea kuhamasisha waliojiandikisha kujitokeza novemba 27, 2024 katika zoezi la upigaji kura.


Akihitimisha taarifa yake Kaimu Mkurugenzi Mtendaji ameishukuru serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan kwa juhudi zake za kutoa fedha kwa ajili ya utekelezaji wa miradi na shughuli za maendeleo katika sekta mbalimbali.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.