• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA YAPONGEZWA UTEKELEZAJI MZURI WA AFUA ZA LISHE

Posted on: September 26th, 2024

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, Mhe. Ngassa Mboje amewapongeza madiwani na watendaji wa hamashauri kwa utekelezaji mzuri wa afua za lishe uliopelekea halmashauri kupata kadi alama ya kijani inaashiria utekelezaji uliofikia viwango vizuri. Pongezi hizo amezitoa wakati wa kikao maalum cha madiwani cha kupokea,  kujadili na kupitisha taarifa  ya utekelezaji wa shughuli za lishe kwa kipindi cha Julai 2023 hadi Juni 2024.


Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji, Mratibu wa Shughuli za Lishe  Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, Bw.Said Mankiligo, amesema kuwa Halmashauri kwa kushirikiana na asasi zisizo za kiserikali  ikiwemo Word Vision, Kivulini na TCRS imeendelea kutekeleza afua mbalimbali za lishe  kwa kuzingatia viashiria vya mkataba wa lishe.


Bw. Mankiligo ameainisha  kuwa katika kipindi cha Julai 2023 hadi Juni 2024,, halmashauri imefanya jitihada kubwa  katika utekelezaji wa afua  za lishe  ikiwa ni pamoja na kutenga kiasi cha shilingi 93,908,580 na kutumia kiasi cha shilingi 93,805,044.5 sawa na asilimia 104.


Afua zingine zilizotekelezwa ni utoaji wa huduma ya chakula shuleni, utoaji wa vidonge vya kuongeza  wingi wa damu (FEFO/ IFA) kwa wajawazito, utoaji wa matone ya vitamin A kwa watoto wenye umri wa kuanzia miezi 6 hadi miaka mitano, upimaji wa hali ya lishe  na matibabu ya utapiamlo mkali, uendeshaji siku ya afya na lishe ( SALIKI) , utoaji wa unasihi wa lishe kwa wazazi/walezi wenye watoto kuanzia miezi 0 hadi 23 na kaguzi ya vyakula kila robo.


Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri, Dkt. Kalekwa Kasanga akizungumza wakati wa kikao hicho, ametoa wito kwa madiwani kuwa mstari wa mbele  katika kuwahamasisha wazazi kuchangia chakula kwa ajili ya wanafunzi kula mashuleni. Amesema kuwa ulaji wa chakula mashuleni utawezesha wanafunzi kuwa na afya njema, kupata ufaulu mzuri na kupunguza utoro.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.