• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

Posted on: June 25th, 2024

Na. Paul Kasembo, SHINYANGA DC.


Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha ameipongeza halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga

 kwa kupata hati safi na kuitaka Halmashauri hiyo kuitumia vizuri Hati Safi waliyoipata kutekeleza yale yote 

yaliyokuwa yamekusudiwa ikiwa ni pamoja na utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) .


Kauli hiyo ameitoa leo Juni 25, 2024 wakati wa mkutano maalum wa Baraza la Madiwani la kupitia na

 kujadili taarifa ya hoja za CAG kwa mwaka wa fedha 2022/2023.


Mhe. Macha ametoa pia pongezi kwa halmashauri kwa kuendelea kutekeleza miradi ya maendeleo 

ikiwemo ujenzi wa jengo la Utawala ambalo kwa muda kiasi lilisimama ila kwa sasa ujenzi wake unakwenda 

kwa kasi sana na umefikia hatua ya umaliziaji . Aidha, ameshauri kuundwa kwa Timu ndogo ya watu watano

 (5) ambao watakuwa ni maalum kwa ajili ya kushughulikia na kujibu hoja za CAG peke yake na timu hii iwezeshwe

 kikamilifu kwa ajili ya kazi hiyo maalum kwa lengo la kuondoa kabisa hoja zinazojitokeza.


"Pamoja na kuwapongeza kwa kufanya vizuri na hata mkapata hati safi ya CAG, lakini nendeni mkatumie

 hati hiyo safi  mliyoipata kutekeleza yale yote mliyoyakusudia ikiwemo kutekeleza Ilani ya CCM ambayo 

ndiyo inaunda Serikali yetu  na ndiyo ambayo ninyi imewaajiri, hivyo zingatieni haya na mkafikie lengo 

mlilokusudia na siyo vinginevyo, " amesema Mhe. Macha.


Awali akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa CAG ndg. Thobias Shija ambaye ni Mkuu wa Kitengo cha Fedha

 kwa niaba ya Mkurugenzi  wa Halmashauri ya Shinyanga Dkt. Kalekwa Kasanga amesema kuwa Halmashauri

 ilikuwa na hoja 35 za mwaka 2022/2023 na hoja za nyuma ni 69 jumla ya hoja 104 ikijumlisha na hoja za nyuma,

 ambapo 41 zimejibiwa na kufungwa, 47 zinaendelea na utekelezwaji, zilizofutwa ni 15 na majibu ambayo

 hayajakubalika ni moja.


Kwa upande wake, Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Mhe. Nicodemus Simoni 

amesema kuwa yale yote yaliyoelekezwa na CAG na Mkuu wa Mkoa na yaliyoshauriwa na wajumbe 

yamechukuliwa na yatafanyiwa kazi ili ifike wakati waondokane na hoja zote .

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.